#COVID19 Covid 19 sio janga kubwa la mwisho, tujiandae na janga kubwa lingine - Bill Gates

#COVID19 Covid 19 sio janga kubwa la mwisho, tujiandae na janga kubwa lingine - Bill Gates

Wazungu wamesavei wameona daa!! ngozi nyeusi haidhuriki na bacteria/virusi vya kibwegebwege. Maji ya mtoni ambayo hata hayajachemshwa, yanalambwa tu, no kuharisha wala kukohoa!, embe linanunuliwa sokoni, linasafishwa kwa ulimi halafu hiloo tumboni, no kuharisha wala kukohoa.
Sasa wanatafakari, hizi chanjo nani atanunua?
OK! Ongeza dozi ya virusi!!
😁😁😁
 
Ukiona hivyo jua kuna kirusi kingine kiko jikoni kinaivishwa kwa kasi ya 5G. Afrika tujiandae
Tatizo kubwa la wabongo ni elimu finyu na kutopenda kusoma. Kama mtu umekwenda darasani na unajua lugha za kimataifa haya mambo aliyozungumza siyo kitu cha ajabu na ni suala la muda tu. Unajua kuna duniani aina ya virus ambao tunawafahamu ni wachache tu na wako wengine wengi ambao hatuwafahamu? Unajua kuwa muda wowote wakiweza ku-cross na kuingia kwenye mwili wa binadamu wanaweza kuleta ugonjwa mpya? Unajua kuwa majanga ya maradhi ya mlipuko yamekuwepo toka zamani na yataendelea kuwepo? Unajua kuwa solar system yetu ina maumbo yanazunguka mengi na ambao yanaweza kuleta madhara kwa dunia wakati wowote? Nyie watu shule mlienda kufanya nini? Nyie watu Internet mnaitumiaje? Jengeni tabia ya kusoma!
 
Daah jamaa wana vitisho kila kukicha yap ugonjwa upo huo mwingine mna uhakika gani kwamba utakuja Kama sio agonjwa ya kutengeneza na ninyi ndio mmeshika password.
Jijengeeni tabia ya kusoma vitu vya maana jamani. Bila hivyo mtakuwa na mawazo finyu na msijue dunia inakoenda. Kwani nini mnakuwa wavivu sana kusoma. Au kiingereza ni gongana?
 
Magonjwa ni sehemu ya maisha tu kitakacho kuja tutakabiliana nacho tu hata kama hatutakiweza,tutakufa watakaobaki nao watapambana hata huyo bill mwenyew atakufa (wengine watasema tunajifariji tu)
 
Bill gates alifadhiri research kutafuta chanjo baada ya kupatikana amewazuia oxford wasitoe haki ya astra zenica kuwa mali ya umma ili iuzwe apate faida kwa anaowataka, the guy is a killer
Haya ma-uongo yasiyo na mbele wala nyuma mnaokotezaga wapi? Haya ndiyo matatizo ya vijiwe vya watu wasiojua kinachoendelea duniani wanapokutana na kulishana ma-ujinga. Jengeni tabia ya kujisomea ili mpanue mawazo.
 
Jijengeeni tabia ya kusoma vitu vya maana jamani. Bila hivyo mtakuwa na mawazo finyu na msijue dunia inakoenda. Kwani nini mnakuwa wavivu sana kusoma. Au kiingereza ni gongana?
Mhhh yaani wewe ndio wa kuniambia kiingereza sijui mambo ya kujijengea tabia ya kusoma nina miezi miwili nyuma nilikua USA nikarudi Tanzania nimekaa siku kadhaa nipo South Africa sijui huko kote nakosafiri wewe ndio mtafsiri wangu...
 
Yaani moyo umenistuka baada ya bill gate kuongea janga lingine litatupata
Sielewi kwa nini ustuke. Haya ni mambo ya kitaaluma, inabidi kujiandaa. Taabu ni pale serikali nzima inapokataa sayansi na kuamini mara nyungu, mara kikombe cha babu! Ni kweli tusipochukua hatua, na kama hatukuputika kwa janga hili, linakofuata taabu itakuwa pale pale! Tuamke, tuchukue tahadhali kama inavyoshauriwa-kisayansi!
 
Wazungu wamesavei wameona daa!! ngozi nyeusi haidhuriki na bacteria/virusi vya kibwegebwege. Maji ya mtoni ambayo hata hayajachemshwa, yanalambwa tu, no kuharisha wala kukohoa!, embe linanunuliwa sokoni, linasafishwa kwa ulimi halafu hiloo tumboni, no kuharisha wala kukohoa.
Sasa wanatafakari, hizi chanjo nani atanunua?
OK! Ongeza dozi ya virusi!!
tunaongezewa dozi tu mkuu....
 
Bwana wa majeshi atosha kutulinda.
Kusoma na kufanya tafiti hamtaki, kazi kulalama tuu na kumsingizia Mungu kwamba anaeanusuru wakati hata dini yenyewe mmeletewa... Nyie mlikuwa mnaabudu miti, milima, Jua nk.... Nasema uwongo ndugu zangu????
 
Nimecheka mawazo ya wadau juu hapo eti waafrika tujiandae nikawaza tujiandae nini zaidi ya kusubiri kufa.

Cha kujiandaa ni kifo tu maana hatuna uwezo wa kutengeneza chanjo wala kuzuia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kabisa mkuuu
 
Jamaa wanapambana kufanya utafiti wa chanjo halafu ukatae kununua dawa hapo wanaleta wanachokijua wao.

Inabidi waafrika tuamke na kuacha tegemezi la kila aina.

Hapo hajakosea ni bora kujikita na kuwekeza zaidi kwenye sekta ya afya.

Nchi nyingi masikini zinawekeza kwenye silaha kupambana na wanaowakosoa badala ya kuwa na afya bora.

Matokeo yake tutakuwa tegemezi tu na kama huna afya huwezi kufanya kitu.
Mkuuu sekta ya afya si tunewekeza kwenye nyungu? Au wewe huna habari?
 
Jeypm jamaa yangu hebu acha tabia ya kuwaita mabeberu hawa jamaa wakiamua kutumaliza baba ni dakika sifuri.Wanaweza tuma ka drone usiku kakaja kunyuzia virus maeneo ya DODOMA ,CHATU N DAR tukapoteana.
 
Tatizo kubwa la wabongo ni elimu finyu na kutopenda kusoma. Kama mtu umekwenda darasani na unajua lugha za kimataifa haya mambo aliyozungumza siyo kitu cha ajabu na ni suala la muda tu. Unajua kuna duniani aina ya virus ambao tunawafahamu ni wachache tu na wako wengine wengi ambao hatuwafahamu? Unajua kuwa muda wowote wakiweza ku-cross na kuingia kwenye mwili wa binadamu wanaweza kuleta ugonjwa mpya? Unajua kuwa majanga ya maradhi ya mlipuko yamekuwepo toka zamani na yataendelea kuwepo? Unajua kuwa solar system yetu ina maumbo yanazunguka mengi na ambao yanaweza kuleta madhara kwa dunia wakati wowote? Nyie watu shule mlienda kufanya nini? Nyie watu Internet mnaitumiaje? Jengeni tabia ya kusoma!
Acha kusoma kwa kukariri mistari. Hiyo ni mojawapo ya udhaifu wa elimu zetu.
Hoja ni kuwa wanatibu matatizo wanayoyaleta wenyewe, Kwa faida zao binafsi.
 
Nimecheka mawazo ya wadau juu hapo eti waafrika tujiandae nikawaza tujiandae nini zaidi ya kusubiri kufa.

Cha kujiandaa ni kifo tu maana hatuna uwezo wa kutengeneza chanjo wala kuzuia
Chanjo gani hau waliotengeneza ?Maana tokea corona ishike kasi wakasema wamepata chanjo cha kushangaza Corona inawamaliza tu Waafrika tunalima tunajifukiza maisha yanasonga
 
Jamaa shetani sana huyu, Bill is the worst ever man to live in the world. Huyu ndio anaharibu dunia kupitia chanjo na GMO Foods. Tuwe makini sana na huyu shetani
 
Back
Top Bottom