COVID-19 Test Kits zilizogunduliwa kuwa na hitilafu kwingineko duniani siyo hizi za Magufuli

COVID-19 Test Kits zilizogunduliwa kuwa na hitilafu kwingineko duniani siyo hizi za Magufuli

Kwanza, sikubaliani hiyo dhana kwamba lazima umchukie mtu ambaye una uwezo wa kumfanya lolote.
Pili, unaweza kumchukia mtu lakini ni vigumu sana kuuchukia ukweli wa huyo mtu na watu wenye akili timamu wakakuelewa. Kwa sababu chuki yako haiwezi kubadilisha huo ukweli uwe uongo.
Tatu, kwamba mtu ukishamwekea X huwezi kumzungumzia ktk hali ya usawa.
Mkuu fahamu tu ya kwamba ukweli huwa hauna sehemu mbili. Huwezi kuugawanya ili upate usawa. Upande mmoja hasa ule ambao hautakubali lazima utakisikia kuumia. Na upande wa pili utafurahia.
Kama mleta uzi kaongea ukweli, kuukubali au kuukataa hakubadishi kitu.
Na kama ni uongo mpinge kwa hoja, onesha uongo wake na weka ukweli wako.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nachokisema ni kwamba kumchukia mtu sana ambaye huwezi kumfanya kitu inakuwa ni kama kujiadhibu ni kujitia stress,kuna watu wamejenga chuki kwa Magufuli na hawana cha kumfanya matokeo yake sasa ndio tunaona watu humu wakimzungumzia huyo Magufuli yani wanamzungumza katika hali ya jazba na kutaka muda wote kuona Magufuli anajadiliwa upande wa mabaya tu aonekane hafai na anachukizwa kabisa anapoona Magufuli anajadiliwa upande tofauti na huo.

Watu tunatofautiana mitazamo sasa unakuta jambo fulani alilofanya Magufuli mie nimelitazama tofauti labda nimeona ni jambo zuri,ila wenzetu hao unaweza kushangaa anaanza kukushambulia na kukuona unatumika tu kumsifu Magufuli,yani yeye kutokana na hiyo chuki yake basi anasahau hata kuwa watu hutofautiana mitazamo yeye huona huyo Magufuli hana lililojema.
 
Ukiwapiga kwa hoja mujarabu kama hizi nakuhakikishia watakuja na kila tusi walilofunzwa na Slowslow.Hawana la kusema zaidi zaidi watakutukana.Wanashangilia kila alinenalo Mzee Baba na kila aliye upande wao.
CCM mnawapeleka wapi Watanzania?Je,nyie ni wakala wa Lucifer?Mbona mnapenda kuwaongopea Waajiri wenu?Kama mna ubavu,tutengenezeeni Test Kits zisizofanya faults,zinazoweza kupima maradhi kwa uhakika wa 100% including COVID-19 maana sisi ni nchi ya viwanda&Donor Country.
Kongole mtoa mada,umewapa nondo za ukweli.
Yaani ni full mitusi... na wengine unaona wazi kwamba hata kusoma thread hawajasoma, na kama wamesoma hawakuelewa hata mstari manake unakuta mtu anahoji kitu tofauti...
 
Mkuu nachokisema ni kwamba kumchukia mtu sana ambaye huwezi kumfanya kitu inakuwa ni kama kujiadhibu ni kujitia stress,kuna watu wamejenga chuki kwa Magufuli na hawana cha kumfanya matokeo yake sasa ndio tunaona watu humu wakimzungumzia huyo Magufuli yani wanamzungumza katika hali ya jazba na kutaka muda wote kuona Magufuli anajadiliwa upande wa mabaya tu aonekane hafai na anachukizwa kabisa anapoona Magufuli anajadiliwa upande tofauti na huo.

Watu tunatofautiana mitazamo sasa unakuta jambo fulani alilofanya Magufuli mie nimelitazama tofauti labda nimeona ni jambo zuri,ila wenzetu hao unaweza kushangaa anaanza kukushambulia na kukuona unatumika tu kumsifu Magufuli,yani yeye kutokana na hiyo chuki yake basi anasahau hata kuwa watu hutofautiana mitazamo yeye huona huyo Magufuli hana lililojema.
Hivi umetumia vigezo gani kuhitimisha kwamba namchukia Magufuli?!
 
yawezekana ukawa sahihi...ila JPM alishajipatia political mileage kwa ile speech,amezima ajenda zote za corona na yeye ndyo ameshikilia usukani wa siasa kwa sasa...na kibaya upinzani hauna platform kama ya JPM ili kuelezea facts hizi...all major mainstream medias zipo kiganjani mwa JPM humu JF wataishia kukusoma wachache,ukitaka wengi wakusome na wakuone nenda ITV au TBC and the likes...je ujasiri huo unao?
Ahahaha...kubali tu JPM for the time amewaweza...
Hajamuweza yeyote. Haya ni maisha ya watu na siyo tambo za kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti ya kukosoa na kutaka kuonesha kuwa mtu fulani hafai.

Kumchukia mtu ambaye huwezi kumfanya lolote ni sawa na kujiadhibu mwenyewe.

Siku zote ukishamuwekea mtu X basi huwezi kumzungumzia katika hali ya usawa.
Ushauri murua kwa Magufuli.
 
Wewe naye mkuu naona bado hukuelewa hoja ya JPM, yeye hakusema kuwa findings zake ndio suruhu Bali alitoa kama wakeup call ili kuwataka wanasayansi wafanye utafiti ili wajue tatitzo liko wapi ikiwa vipimo vya kila sampuli inayopimwa inasoma positive,kwahiyo JPM ametoa changamoto ili wanasayansi wazame maabara watuambie kwanini aliyoyasema yeye yako vile

JPM ni hakili kubwa haiwezi kuwa challenged na hakili ndogo na hoja dhaifu kama hizi,rudi tena ukajipange mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Kama hakutoa suluhu mbona kawatimua watu
 
Suala hili niliwahi kuliandikia post mahali, lakini nimeonelea kulianzishia uzi ili kulifafanua kwa undani zaidi.

Katika kuhalalisha hoja ya JPM kulisha maparachichi na maboga test kits za COVID-19, Wafuasi wa JPM wamekuwa mara kwa mara wakitumia hoja kwamba hizi mashine sehemu nyingi duniani pia zilionekana kuwa na hitilafu!

Na kwavile hata kwa wenzetu zilionekana hizo hitilafu ndipo wana-conclude JPM yupo sahihi.

Kwa wanaoona taabu kusoma ngoja niwape muhtasairi kwa kusema kwamba, mashine zilizoonekana kuwa na hitilafu sehemu mbalimbali duniani sio hizi alizozikosoa JPM. Zilizoonekana kuwa na hitilafu ni Rapid Diagnostic Testing Kits kwa ajili ya antibody testing wakati alizozilisha maboga JPM ni Laboratory Testing Kits.

Kama huoni taabu kusoma, endelea na maelezo hapa chini.

Ni kweli nchi nyingi including the Ulaya zilirudisha au zililalamika kuhusu mapungufu ya hizo kits, na nchi hizo ni pamoja na UK, Uholanzi, Uturuki, India na zingine.

Tuanze na UK

Sawa na nchi zingine zilivyokuwa zimefanya mizaha, kama ambavyo JPM anaendeleza hiyo mizaha hadi kesho, kuja kushituka UK wakagundua coronavirus ameshasambaa nchini UK.

Out of desperation, UK wakaona kutgemea laboratory test peke yake itachelewesha sana kupata idadi ya maambukizi, na hapo ndipo wakaamua kuagiza Rapid Diagnostic Test Kits. Lengo la UK, ilikuwa ni kusambaza hizi kits kwa wingi ili wananchi waweze kujifanyia testing wao wenyewe kama ambavyo wanawake wanavyojifanyia pregnancy test wao wenyewe.

New York Times, April 16 waliripoti:-
Kabla hatujaendelea, unaona hapo wamesema kwamba ni home test kits...

Kisha The New York Times wanaendelea:-Lakini kwavile wenzetu huwa hawang'ati maneno, The New York Times hawakuishia hapo na badala yake wakaongoza kilichosemwa na watalaamu kwamba:-Hadi hapo utaona wazi kwamba hakuna haja ya mtu kuwa mtalaamu wa maabara kufahamu kwamba kits zilizoonekana kuwa na faults UK ni tofauti na hizi zilizolishwa oil na Magu.

Fuatilia source yoyote ya kueleweka kuhusu hizo UK kits, utakachoona na hicho hicho kilichoandikwa na The New York Times... Rapid Diagnostic Test Kits.

Na hapa tusisahau hizi Rapid Diagnostic Test Kits zinazalishwa in mass tofauti na zile lab kits ndo maana UK peke yake walinunua zaidi ya kits 2M.

Na hilo lilitokea wakati huko nyuma hapakuwa na hizi Rapid Diagnostic Test Kits for COVID-19 kwahiyo nyingi zilikuwa hata hazijawa approved huku mataifa tajiri wakitaka kuwa na stock ya kutosha kabla demand duniani haijawa kubwa zaidi; na Wachina wakatumia fursa kwa wanasiasa waliokuwa desperate.

Tuje kwa Spain!
EFE News Agency ambayo ni international news agency kutoka Spain wanaandika:-
Hapo kwenye RED kwa mara nyingine utaona wanazungumzia rapid test kits.

EFE wanaendelea:-Hpao tena wanazungumzia suala la rapid test kits, na kwa idadi kubwa namna hiyo unaweza kupata picha zIngetumika tumika vp kwa sababu pamoja na utajiri wao, I doubt kama watakuwa na labs nyingi namna hiyo; na badala yake, kuna uwezekano na wenyewe walitaka kuzifanya ziwe available everywhere kama ilivyo vipimo vya ujauzito.

Sina haja ya kuizungumzia desperation ya Spain manake kwa muda mrefu sana nimewazungumzia huku nikitoa mfano wa Dr. Fernando Simon, Dokta Mkuu wa Matibabu ya Dharula ambae wakati Italy inawaka moto, yeye kwa kujiamini kabisa akasema sio rahisi Spain kukumbwa na hilo na janga.

Again, pitia source yoyote ya kueleweka utaona nako wanazungumzia test kits ambazo Spain walikuwa wanalia lia kupigwa, ni Rapid Diagnostic Test Kits, aka Rapid Test Kits aka Antibody Test kits.

What about India?

Kibwagizo cha BBC kinasema"-Again, ni rapid testing kits.

Kisha BBC wanatutoa matongotongo kwamba:-BBC yenye Waandishi wa Habari wana authority gani ya kusema hizo kits haziwezi ku-test coronavirus zenyewe kama zenyewe?

Shirika la Afya Duniani (WHO) wakitoa Scientific Briefing mwezi mmoja uliopita walianza na kibwagizo kwamba:-Ukifanya majumuisho hapo kwenye RED na Bold Black utaona kumbe kuna laboratory based mlecular testing na rapid and easy to use devices aka rapid testing kits!

Sasa tafakari na jiulize zile kits zilizolishwa mafenesi na tukaambiwa hazitoi majibu sahihi ni laboratory-based-mlecular testing kits au rapid and easy to use devices?

Kwa kutambua pressure iliyopo, WHO wakawapongeza hao manufacturers wa hizo rapid testing kits lakini wakaendelea:-Hiyo bold imewekwa na WHO wenyewe wakisema wazi kwamba hizo kits zisitumike kama ndio final say!

Here come another question! Kits zinazotumika Tanzania na hatimae kupewa sample za mbuzi na hivyo Wafuasi wa Magu kudai findings za Magu zipo right kwa sababu hata kwa wenzetu tatizo lilionekana. Je, ni kits ambazo hazijawa validated for clinical trials?

WHO wakatoa maelezo jinsi ya hizi rapid testing kits zinazovyofanya kazi na kutoa scientific estimation kwamba:-Kumbe Sensitivity rate yake ni 34% to 80%.

Ukifanya homework mwenyewe utaona Spain walilalamika kwamba sensitivity ya hizo kits ni only 30% wakati wao walitarajia ingekuwa at least 80%!

Kisha WHO wakasisitiza:-Again, mnataka kutuambia WHO wameiacha Tanzania iwe inatumia kwenye maabara zake Rapid Diagnostic Testing Kits pamoja na kwamba walishatoa tahadhali huko nyuma kwamba hizi sio za kuzitumainia?!

Katika ulimwengu wa kibepari hata WHO wanaweza kununuliwa na China ili kutoa hayo maelezo hapo juu ili kuwanusuru China na aibu.

What about other sources?

Mwaka 2013, almost 7 years before COVID-19 tovuti ya Science Direct inaelezea Rapid Diagnostic Testing kwamba:-Again, ina maana testing kits zilizo kwenye mahabara zetu na kukosolewa na JPM ni kama zile ambazo long time zimeshaelezewa zisitumike kufanya final conclusion au ni laboratory testing kits?

Kuna uhusiano gani kati ya kits zilizorudishwa nchi zingine kiasi cha kutumika kama justification ya kwamba JPM yupo sahihi kwa sababu hata kwa wenzetu hizo kits zimeonekana zina hitilafu?!

JPM ni Mwana Kemia. Je, ametuambia findings zake zimeonesha sensitivity ya zile kits ni asilimia ngapi?

Hitimisho ni kwamba, mnaweza kuendelea kuwalisha ujinga watu kwamba hata Ulaya hizi kits zilionekana zina hitilafu lakini ukweli ni kwamba kits ambazo zilionekana zina hitilafu sio hjzi ambazo ni clinically validated, and approved.

Of course errors lazima ziwepo manake hakuna mashine iliyo 100% efficient. Hata hizi laboratory kits zinakuwa na acceptable margin of errors; kwa mfano, ziwe na Sensitivity ya 95%.

NOTE: Sina muda wa kufanya proofreading, so pardon any errors!
Mna kazi kubwa ya kufanya 'utafiti' ili ku-counter hoja za JPM...poleni....but truth will eventually emerge....kazi mnayo kwa kweli...
 
Mna kazi kubwa ya kufanya 'utafiti' ili ku-counter hoja za JPM...poleni....but truth will eventually emerge....kazi mnayo kwa kweli...
Unfortuinately sina namna nyingine ya kukusaidia! FYI, kufanya utafiti ndo kawaida yangu... huwa siongei kwa kukurupuka; iwe issues za kisiasa, kiuchumi au hata masuala ya burudani!!

So, don't take it personal... hicho ni kielelezo tu cha tofauti kati yangu na watu aina yenu!

Btw, hiyo truth unayosema hatimae ita-emrge, ni nani atatoa hiyo truth?! Unamaanisha hizi truth za kumfurahisha Mfalime kama ile truth ya kuwadai Acacia trilioni 425, au truth ipi hasa?!

Unaanza kutimua watu halafu unajifanya kuunda tume wakati umeshawaonesha wasipokufurahisha watakumbana na nini!!]

Acha masihara mzee!
 
Unfortuinately sina namna nyingine ya kukusaidia! FYI, kufanya utafiti ndo kawaida yangu... huwa siongei kwa kukurupuka; iwe issues za kisiasa, kiuchumi au hata masuala ya burudani!!

So, don't take it personal... hicho ni kielelezo tu cha tofauti kati yangu na watu aina yenu!

Btw, hiyo truth unayosema hatimae ita-emrge, ni nani atatoa hiyo truth?! Unamaanisha hizi truth za kumfurahisha Mfalime kama ile truth ya kuwadai Acacia trilioni 425, au truth ipi hasa?!

Unaanza kutimua watu halafu unajifanya kuunda tume wakati umeshawaonesha wasipokufurahisha watakumbana na nini!!]

Acha masihara mzee!
Nimeandika 'utafiti' na siyo utafiti
 
Vipi dadangu, mbona matusi?! Kwanini mnapenda kuleta jamvini frustration mnazosababishiwa na waume zenu? Lau kama sio hayo ma-frustration yako am,bayo wala hayatuhusu, ungeona nimezungumza kwambaSasa how come dadangu unaibuka from nowhere na kuanza kutoa povu?
Muulize mama yako mimi ni jinsia gani wakati unamsaidia kukata vitunguu jikoni atakwambia pia nashuruba anazozipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Chige sijasoma andiko lako lote lakini kidogo nilichosoma ngoja nikujuze USA walipewa reagent mbaya na CDC ikawalazimu watengeneze mpya na kuruhusu wiwanda binafsi kadhaa watengeneze hizo reagents.
Nikipata muda nitatafuta link husika nikuwekee hapa.

Tekinolojia na mambo yoyote ya kisayansi hayana kinga ya kutokuwa na kasoro. Hakuna perfect world ambayo huko hakuna makosa ya vifaa vya kisayansi na tekinolojia.

Mh. Magufuli kafungua mjadala ni jambo zuri na wataalamu nendeni maabara mkachunguze ukweli na tatizo lilianzia wapi kama lilikuwepo na nini suluhisho. Kukataa uwepo wa tatizo siyo kulitatua tatizo husika.
 
Shida ni kuwa Magufuli anapoongea hizo drama zake anakuwa live na media zote na wengine wanalazimishwa kurudia rudia alichosema. Hili ni tofauti kabisa kwa wengine ambapo uhuru wa kujieleza umeminywa vibaya sana. Magufuli anawadanganya mamilioni kwa speech zake ambazo kiukweli ni janga!
You are running out of gass!!?
 
yawezekana ukawa sahihi...ila JPM alishajipatia political mileage kwa ile speech,amezima ajenda zote za corona na yeye ndyo ameshikilia usukani wa siasa kwa sasa...na kibaya upinzani hauna platform kama ya JPM ili kuelezea facts hizi...all major mainstream medias zipo kiganjani mwa JPM humu JF wataishia kukusoma wachache,ukitaka wengi wakusome na wakuone nenda ITV au TBC and the likes...je ujasiri huo unao?
Ahahaha...kubali tu JPM for the time amewaweza...
Ila kila siku watu wanakufa...kutawala Watanzania rahisi sana
 
Mwangalieni huyu... mie nimejadili hoja ya JPM au nimejadili hoja ya Wafuasi wa JPM wanaosema sehemu nyingi duniani kits zimeonekana kuwa na fault wakati kits zilizoonekana kuwa na fault sio kama hizi?!

Halafu badala ya kuwaambia wenzako wana "hakili" ndogo, rudi kwanza shule ukajifunze kuandika manake hakuna kitu kinachoitwa "hakili" hususani kwa kuangalia muktadha wa hoja yako!
Wewe Chige, mambo ya taaluma waachie wanataaluma. Googling haitakufanya mwanataaluma kwani hutaelewa hasa kinachojadiliwa. Wewe ume google hapa:
How Accurate Are COVID-19 Tests? Many Factors Can Affect Sensitivity, Specificity of Test Results | ARUP Laboratories

Haiwezekani kabisa scientificaly kipimo cha nucleic acid ya SARS - COVI 2 (=COVID - 19) kikawa positive kwe majimaji ya papai, mbuzi wala kware. Hii wala haitaitwa false positive bali nonsense about that test! Hatutaki nonsense test kits toka kwa hawa donors. Waje tutawaonesha how nonsense hizi test kits walizotupatia. Hizo samples za mbuzi, kware na mapapi tumezi serve kwa wale ambao hawaamini. Mbuzi, kware na papai yaliyotest na yanayoendelea kutest positive yapo. Waje wayapime na wao kama hawatuamini. Na yakitest positive watulipe compensations za matrillioni ya pesa!
 
Wewe Chige, mambo ya taaluma waachie wanataaluma. Googling haitakufanya mwanataaluma kwani hutaelewa hasa kinachojadiliwa. Wewe ume google hapa:
How Accurate Are COVID-19 Tests? Many Factors Can Affect Sensitivity, Specificity of Test Results | ARUP Laboratories
We jamaa una matatizo, sio bure!!

Nakumbuka siku za nyuma nilishawahi kukuuliza "Hivi wewe ni dokta wa nini?!"

Na leo narudia tena hilo swali... hivi we jamaa ni dokta wa nini?

Utasemaje nime-Google hapo wakati nimeambatanisha na link kwa kila nilichoandika?!

Kuna sehemu yoyote kwenye maelezo yangu ulipokuta hiyo link uliyoweka na kudai ndipo nilipo-Google?!

Again, hivi we jamaa ni dokta wa nini?!
 
Mkuu Chige sijasoma andiko lako lote lakini kidogo nilichosoma ngoja nikujuze USA walipewa reagent mabaya na CDC ikawalazimu watengeneze mpya na kuruhusu wiwanda binafsi kadhaa watengeneze hizo reagents.
Nikipata muda nitatafuta link husika nikuwekee hapa.

Technolojia na mambo yoyote ya kisayansi hayana kinga ya kutokuwa na kasoro. Hakuna perfect world ambayo huko hakuna makosa ya vifaa vya kisayansi na nteknolojia.

Mh. Magufuli kafungua mjadala ni jambo zuri na wataalamu nendeni maabara mkachunguze ukweli na tatizo lilianzia wapi kama lilikuwepo na nini suluhisho. Kukataa uwepo wa tatizo siyo kulitatua tatizo husika.
Kwavile umesema hujasoma yote siwezi kukulaumu manake ungesoma hadi mwisho ungeona nimesema wazi hakuna mashine iliyo perfect kwa 100% including hizi lab test kits!!

Ni kutokana na hilo ndipo nikasema hata hizi testing kits kv haziwezi kuwa perfect kwa 100%, ndo maana kunakuwa na acceptable efficiency... kwa mfano, ili kit iwe clinically approved basi iwe na, for instance at least 90% Sensitivity!
 
Muulize mama yako mimi ni jinsia gani wakati unamsaidia kukata vitunguu jikoni atakwambia pia nashuruba anazozipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana dadangu, mitusi yote ya nini dadangu?! Habari za mamangu ambae hata JF haijui zinakujaje?!

Nakushauri kamalizane na mumeo na ukishakuwa sober ndo urudi hapa badala ya kuhamishia frustration zako kwa wengine!!

Pole sister...
 
Back
Top Bottom