COVID-19 Test Kits zilizogunduliwa kuwa na hitilafu kwingineko duniani siyo hizi za Magufuli

COVID-19 Test Kits zilizogunduliwa kuwa na hitilafu kwingineko duniani siyo hizi za Magufuli

We jamaa una matatizo, sio bure!!

Nakumbuka siku za nyuma nilishawahi kukuuliza "Hivi wewe ni dokta wa nini?!"

Na leo narudia tena hilo swali... hivi we jamaa ni dokta wa nini?

Utasemaje nime-Google hapo wakati nimeambatanisha na link kwa kila nilichoandika?!

Kuna sehemu yoyote kwenye maelezo yangu ulipokuta hiyo link uliyoweka na kudai ndipo nilipo-Google?!

Again, hivi we jamaa ni dokta wa nini?!
Mimi ni dokta wa watu kama wewe. Hizo links zako ni za rapid tests zinazotumika kugundua antibodies (ie Elisa tests). Hizi bado ziko kwa majaribio.
Vipimo vinavyotumika ni za nucleic acid kugundua antigen za virusi hivi - viwe kwenye mwili wa binadamu, kwenye surfaces zo zote, hewani na penginepo popote. Tunatumia swab na siyo damu. Hivyo hata mbuzi, papai au kitu cho chote kile ambacho kina virusi hivi baada ya ku swab kipimo kitawaonesha virusi hivi kwenye fluroscent light. Hivyo link niliyokupa ndiyo sahihi. Tatizo lako you are non medic posing to be medic.
 
Mimi ni dokta wa watu kama wewe. Hizo links zako ni za rapid tests zinazotumika kugundua antibodies (ie Elisa). Hizi bado ziko kwa majaribio.
Vipimo vinavyotumika ni za nucleic acid kugundua antigen za virusi hivi - viwe kwenye mwili wa binadamu, kwenye surfaces zo zote, hewani na penginepo popote. Tunatumia swab na siyo damu. Hivyo hata mbuzi, papai au kitu cho chote kile ambacho kina virusi hivi baada ya ku swab kipimo kitawaonesha virusi hivi kwenye fluroscent light. Hivyo link niliyokupa ndiyo sahihi. Tatizo lako you are non medic posing to be medic.
Unachopinga wewe ni kipi hasa?! Hivi ulisoma au ulikimbilia kupinga tu kama kawaida yenu kwavile katajwa Magufuli?!

Hiyo link uliyonipa ni sahihi kwa hoja ipi?!

Acheni tabia ya kukurupuka na ku-comment wakati hata kusoma hamjasoma!
 
Unachopinga wewe ni kipi hasa?! Hivi ulisoma au ulikimbilia kupinga tu kama kawaida yenu kwavile katajwa Magufuli?!

Hiyo link uliyonipa ni sahihi kwa hoja ipi?!

Acheni tabia ya kukurupuka na ku-comment wakati hata kusoma hamjasoma!
Kwa hoja ya vipimo vyenye fault tunavyotumia kubaini novel coronovirus.

Kuhusu kusoma, wewe ndiye si msomi bali ni mbabaishaji tu. Endelea kubabaisha wengine siyo wasomi. Unakuja na hoja za rapid antibody diagnostic kits ambazo hakuna hata nchi moja inatumia kwenye mapambano ya janga hili! Usidandie fani usiyoijua sawa sawa. Your pineal gland needs to be checked up my fake doctor!
 
Pole chige. Nakuonea huruma sana. Nilidhan unaleta scientific proof apa. Kumbe unatumia sources za mitandao.

Nilifurahi nikaona sasa nimepata msomi ambae atatufafanunulia kitaalam, kumbe ni ku nukuu vyanzo vya mitandao. Hujui hata samples huwa zinachukuliwaje. Hujui hata swab zina maana gan. Yaan kiufupi you r so stupid.

Mi sijui nikusaidieje. Lakini nifuatilie, nikipata muda nitakuletea evidence za kisayansi ku prove kuwa hoja za jpm zinaweza kuwa kweli kwa % kubwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala hili niliwahi kuliandikia post mahali, lakini nimeonelea kulianzishia uzi ili kulifafanua kwa undani zaidi.

Katika kuhalalisha hoja ya JPM kulisha maparachichi na maboga test kits za COVID-19, Wafuasi wa JPM wamekuwa mara kwa mara wakitumia hoja kwamba hizi mashine sehemu nyingi duniani pia zilionekana kuwa na hitilafu!

Na kwavile hata kwa wenzetu zilionekana hizo hitilafu ndipo wana-conclude JPM yupo sahihi.

Kwa wanaoona taabu kusoma ngoja niwape muhtasairi kwa kusema kwamba, mashine zilizoonekana kuwa na hitilafu sehemu mbalimbali duniani sio hizi alizozikosoa JPM. Zilizoonekana kuwa na hitilafu ni Rapid Diagnostic Testing Kits kwa ajili ya antibody testing wakati alizozilisha maboga JPM ni Laboratory Testing Kits.

Kama huoni taabu kusoma, endelea na maelezo hapa chini.

Ni kweli nchi nyingi including the Ulaya zilirudisha au zililalamika kuhusu mapungufu ya hizo kits, na nchi hizo ni pamoja na UK, Uholanzi, Uturuki, India na zingine.

Tuanze na UK

Sawa na nchi zingine zilivyokuwa zimefanya mizaha, kama ambavyo JPM anaendeleza hiyo mizaha hadi kesho, kuja kushituka UK wakagundua coronavirus ameshasambaa nchini UK.

Out of desperation, UK wakaona kutgemea laboratory test peke yake itachelewesha sana kupata idadi ya maambukizi, na hapo ndipo wakaamua kuagiza Rapid Diagnostic Test Kits. Lengo la UK, ilikuwa ni kusambaza hizi kits kwa wingi ili wananchi waweze kujifanyia testing wao wenyewe kama ambavyo wanawake wanavyojifanyia pregnancy test wao wenyewe.

New York Times, April 16 waliripoti:-
Kabla hatujaendelea, unaona hapo wamesema kwamba ni home test kits...

Kisha The New York Times wanaendelea:-Lakini kwavile wenzetu huwa hawang'ati maneno, The New York Times hawakuishia hapo na badala yake wakaongoza kilichosemwa na watalaamu kwamba:-Hadi hapo utaona wazi kwamba hakuna haja ya mtu kuwa mtalaamu wa maabara kufahamu kwamba kits zilizoonekana kuwa na faults UK ni tofauti na hizi zilizolishwa oil na Magu.

Fuatilia source yoyote ya kueleweka kuhusu hizo UK kits, utakachoona na hicho hicho kilichoandikwa na The New York Times... Rapid Diagnostic Test Kits.

Na hapa tusisahau hizi Rapid Diagnostic Test Kits zinazalishwa in mass tofauti na zile lab kits ndo maana UK peke yake walinunua zaidi ya kits 2M.

Na hilo lilitokea wakati huko nyuma hapakuwa na hizi Rapid Diagnostic Test Kits for COVID-19 kwahiyo nyingi zilikuwa hata hazijawa approved huku mataifa tajiri wakitaka kuwa na stock ya kutosha kabla demand duniani haijawa kubwa zaidi; na Wachina wakatumia fursa kwa wanasiasa waliokuwa desperate.

Tuje kwa Spain!
EFE News Agency ambayo ni international news agency kutoka Spain wanaandika:-
Hapo kwenye RED kwa mara nyingine utaona wanazungumzia rapid test kits.

EFE wanaendelea:-Hpao tena wanazungumzia suala la rapid test kits, na kwa idadi kubwa namna hiyo unaweza kupata picha zIngetumika tumika vp kwa sababu pamoja na utajiri wao, I doubt kama watakuwa na labs nyingi namna hiyo; na badala yake, kuna uwezekano na wenyewe walitaka kuzifanya ziwe available everywhere kama ilivyo vipimo vya ujauzito.

Sina haja ya kuizungumzia desperation ya Spain manake kwa muda mrefu sana nimewazungumzia huku nikitoa mfano wa Dr. Fernando Simon, Dokta Mkuu wa Matibabu ya Dharula ambae wakati Italy inawaka moto, yeye kwa kujiamini kabisa akasema sio rahisi Spain kukumbwa na hilo na janga.

Again, pitia source yoyote ya kueleweka utaona nako wanazungumzia test kits ambazo Spain walikuwa wanalia lia kupigwa, ni Rapid Diagnostic Test Kits, aka Rapid Test Kits aka Antibody Test kits.

What about India?

Kibwagizo cha BBC kinasema"-Again, ni rapid testing kits.

Kisha BBC wanatutoa matongotongo kwamba:-BBC yenye Waandishi wa Habari wana authority gani ya kusema hizo kits haziwezi ku-test coronavirus zenyewe kama zenyewe?

Shirika la Afya Duniani (WHO) wakitoa Scientific Briefing mwezi mmoja uliopita walianza na kibwagizo kwamba:-Ukifanya majumuisho hapo kwenye RED na Bold Black utaona kumbe kuna laboratory based mlecular testing na rapid and easy to use devices aka rapid testing kits!

Sasa tafakari na jiulize zile kits zilizolishwa mafenesi na tukaambiwa hazitoi majibu sahihi ni laboratory-based-mlecular testing kits au rapid and easy to use devices?

Kwa kutambua pressure iliyopo, WHO wakawapongeza hao manufacturers wa hizo rapid testing kits lakini wakaendelea:-Hiyo bold imewekwa na WHO wenyewe wakisema wazi kwamba hizo kits zisitumike kama ndio final say!

Here come another question! Kits zinazotumika Tanzania na hatimae kupewa sample za mbuzi na hivyo Wafuasi wa Magu kudai findings za Magu zipo right kwa sababu hata kwa wenzetu tatizo lilionekana. Je, ni kits ambazo hazijawa validated for clinical trials?

WHO wakatoa maelezo jinsi ya hizi rapid testing kits zinazovyofanya kazi na kutoa scientific estimation kwamba:-Kumbe Sensitivity rate yake ni 34% to 80%.

Ukifanya homework mwenyewe utaona Spain walilalamika kwamba sensitivity ya hizo kits ni only 30% wakati wao walitarajia ingekuwa at least 80%!

Kisha WHO wakasisitiza:-Again, mnataka kutuambia WHO wameiacha Tanzania iwe inatumia kwenye maabara zake Rapid Diagnostic Testing Kits pamoja na kwamba walishatoa tahadhali huko nyuma kwamba hizi sio za kuzitumainia?!

Katika ulimwengu wa kibepari hata WHO wanaweza kununuliwa na China ili kutoa hayo maelezo hapo juu ili kuwanusuru China na aibu.

What about other sources?

Mwaka 2013, almost 7 years before COVID-19 tovuti ya Science Direct inaelezea Rapid Diagnostic Testing kwamba:-Again, ina maana testing kits zilizo kwenye mahabara zetu na kukosolewa na JPM ni kama zile ambazo long time zimeshaelezewa zisitumike kufanya final conclusion au ni laboratory testing kits?

Kuna uhusiano gani kati ya kits zilizorudishwa nchi zingine kiasi cha kutumika kama justification ya kwamba JPM yupo sahihi kwa sababu hata kwa wenzetu hizo kits zimeonekana zina hitilafu?!

JPM ni Mwana Kemia. Je, ametuambia findings zake zimeonesha sensitivity ya zile kits ni asilimia ngapi?

Hitimisho ni kwamba, mnaweza kuendelea kuwalisha ujinga watu kwamba hata Ulaya hizi kits zilionekana zina hitilafu lakini ukweli ni kwamba kits ambazo zilionekana zina hitilafu sio hjzi ambazo ni clinically validated, and approved.

Of course errors lazima ziwepo manake hakuna mashine iliyo 100% efficient. Hata hizi laboratory kits zinakuwa na acceptable margin of errors; kwa mfano, ziwe na Sensitivity ya 95%.

NOTE: Sina muda wa kufanya proofreading, so pardon any errors!
Mi niliwaambia hawakuniamini.Ile mashine ya kupimia COVID-19 ni RT-PCR.Ni test pendekezwa na inatumika dunia nzima..

Hizo testi famba za China ni rapid test.Wakabisha
 
Pole chige. Nakuonea huruma sana. Nilidhan unaleta scientific proof apa. Kumbe unatumia sources za mitandao.

Nilifurahi nikaona sasa nimepata msomi ambae atatufafanunulia kitaalam, kumbe ni ku nukuu vyanzo vya mitandao. Hujui hata samples huwa zinachukuliwaje. Hujui hata swab zina maana gan. Yaan kiufupi you r so stupid.
Hivi ulikuwa na sababu ipi ya msingi ya kusema I'm so stupid?

Umesoma na kuelewa kilichoandikwa?!

Yaani suala la nchi fulani kuripoti Product X waliyonunua kutoka nchi Y ulitarajia suala kama hilo lipatiwe scientific proof?! Yaani ulitarajia watu waingie maabara kufanya experiment ya ku-prove Spain wamerudisha RDT walizonunua kutoka China?

Narudia tena... umesoma mwanzo hadi mwisho na ukaelewa nilichoandika, au kama kawaida yenu huwa mnakurupuka from nowhere na kuanza ku-comment kabla ya kusoma na kuelewa?

I doubt kama umesoma kwa sababu kama ungesoma hapo ungekuta sources za aina mbili... media and scientific sources!

Kuhusu nchi ambazo zilinunua vifaa wakakuta vina fault, nimetumia media reporting... did you expect such news to have scientific proof?!

Mwishoni, nikatumia source ya World Health Organization na Science Direct!

Sioni haja ya kuielezea WHO, but who're Science Direct?:-
ScienceDirect is Elsevier’s platform of peer-reviewed scholarly literature. It includes thousands of books, journal articles, and other reference materials. ACM Professional and Student members have access to select content from ScienceDirect.
In additional, vyuo kama The State University of New Jersey wanasema:
ScienceDirect, the full-text sciences periodicals database from Elsevier, contains over 25% of the world's science, technology and medicine full text and bibliographic information. More than 2,500 journals are available on ScienceDirect and Rutgers University Libraries subscribe to over 1,500 of these titles.
Hivi kuna mtu mwenye uelewa anayeweza ku-question sources kama hizo? Au kwa akili yako unadhani taarifa za WHO zinaandikwa kama habari za Gazeti la Uhuru; kwamba Madagascar wakitangaza wamekugundua dawa ya kutibu COVID-19 basi na wenyewe wanakurupuka kuandika kwamba Madagascar wamegundua dawa?

Kama una akili sawa sawa, nadhani finally utafahamu who's so stupid kama sio nani mpumbavu kati yetu, or else, sioni ni namna gani naweza kukusaidia kwa sababu kwa wengine ujinga ni kipaji walichoapa kuwa nacho daima dumu!
 
Suala hili niliwahi kuliandikia post mahali, lakini nimeonelea kulianzishia uzi ili kulifafanua kwa undani zaidi.

Katika kuhalalisha hoja ya JPM kulisha maparachichi na maboga test kits za COVID-19, Wafuasi wa JPM wamekuwa mara kwa mara wakitumia hoja kwamba hizi mashine sehemu nyingi duniani pia zilionekana kuwa na hitilafu!

Na kwavile hata kwa wenzetu zilionekana hizo hitilafu ndipo wana-conclude JPM yupo sahihi.

Kwa wanaoona taabu kusoma ngoja niwape muhtasairi kwa kusema kwamba, mashine zilizoonekana kuwa na hitilafu sehemu mbalimbali duniani sio hizi alizozikosoa JPM. Zilizoonekana kuwa na hitilafu ni Rapid Diagnostic Testing Kits kwa ajili ya antibody testing wakati alizozilisha maboga JPM ni Laboratory Testing Kits.

Kama huoni taabu kusoma, endelea na maelezo hapa chini.

Ni kweli nchi nyingi including the Ulaya zilirudisha au zililalamika kuhusu mapungufu ya hizo kits, na nchi hizo ni pamoja na UK, Uholanzi, Uturuki, India na zingine.

Tuanze na UK

Sawa na nchi zingine zilivyokuwa zimefanya mizaha, kama ambavyo JPM anaendeleza hiyo mizaha hadi kesho, kuja kushituka UK wakagundua coronavirus ameshasambaa nchini UK.

Out of desperation, UK wakaona kutgemea laboratory test peke yake itachelewesha sana kupata idadi ya maambukizi, na hapo ndipo wakaamua kuagiza Rapid Diagnostic Test Kits. Lengo la UK, ilikuwa ni kusambaza hizi kits kwa wingi ili wananchi waweze kujifanyia testing wao wenyewe kama ambavyo wanawake wanavyojifanyia pregnancy test wao wenyewe.

New York Times, April 16 waliripoti:-
Kabla hatujaendelea, unaona hapo wamesema kwamba ni home test kits...

Kisha The New York Times wanaendelea:-Lakini kwavile wenzetu huwa hawang'ati maneno, The New York Times hawakuishia hapo na badala yake wakaongoza kilichosemwa na watalaamu kwamba:-Hadi hapo utaona wazi kwamba hakuna haja ya mtu kuwa mtalaamu wa maabara kufahamu kwamba kits zilizoonekana kuwa na faults UK ni tofauti na hizi zilizolishwa oil na Magu.

Fuatilia source yoyote ya kueleweka kuhusu hizo UK kits, utakachoona na hicho hicho kilichoandikwa na The New York Times... Rapid Diagnostic Test Kits.

Na hapa tusisahau hizi Rapid Diagnostic Test Kits zinazalishwa in mass tofauti na zile lab kits ndo maana UK peke yake walinunua zaidi ya kits 2M.

Na hilo lilitokea wakati huko nyuma hapakuwa na hizi Rapid Diagnostic Test Kits for COVID-19 kwahiyo nyingi zilikuwa hata hazijawa approved huku mataifa tajiri wakitaka kuwa na stock ya kutosha kabla demand duniani haijawa kubwa zaidi; na Wachina wakatumia fursa kwa wanasiasa waliokuwa desperate.

Tuje kwa Spain!
EFE News Agency ambayo ni international news agency kutoka Spain wanaandika:-
Hapo kwenye RED kwa mara nyingine utaona wanazungumzia rapid test kits.

EFE wanaendelea:-Hpao tena wanazungumzia suala la rapid test kits, na kwa idadi kubwa namna hiyo unaweza kupata picha zIngetumika tumika vp kwa sababu pamoja na utajiri wao, I doubt kama watakuwa na labs nyingi namna hiyo; na badala yake, kuna uwezekano na wenyewe walitaka kuzifanya ziwe available everywhere kama ilivyo vipimo vya ujauzito.

Sina haja ya kuizungumzia desperation ya Spain manake kwa muda mrefu sana nimewazungumzia huku nikitoa mfano wa Dr. Fernando Simon, Dokta Mkuu wa Matibabu ya Dharula ambae wakati Italy inawaka moto, yeye kwa kujiamini kabisa akasema sio rahisi Spain kukumbwa na hilo na janga.

Again, pitia source yoyote ya kueleweka utaona nako wanazungumzia test kits ambazo Spain walikuwa wanalia lia kupigwa, ni Rapid Diagnostic Test Kits, aka Rapid Test Kits aka Antibody Test kits.

What about India?

Kibwagizo cha BBC kinasema"-Again, ni rapid testing kits.

Kisha BBC wanatutoa matongotongo kwamba:-BBC yenye Waandishi wa Habari wana authority gani ya kusema hizo kits haziwezi ku-test coronavirus zenyewe kama zenyewe?

Shirika la Afya Duniani (WHO) wakitoa Scientific Briefing mwezi mmoja uliopita walianza na kibwagizo kwamba:-Ukifanya majumuisho hapo kwenye RED na Bold Black utaona kumbe kuna laboratory based mlecular testing na rapid and easy to use devices aka rapid testing kits!

Sasa tafakari na jiulize zile kits zilizolishwa mafenesi na tukaambiwa hazitoi majibu sahihi ni laboratory-based-mlecular testing kits au rapid and easy to use devices?

Kwa kutambua pressure iliyopo, WHO wakawapongeza hao manufacturers wa hizo rapid testing kits lakini wakaendelea:-Hiyo bold imewekwa na WHO wenyewe wakisema wazi kwamba hizo kits zisitumike kama ndio final say!

Here come another question! Kits zinazotumika Tanzania na hatimae kupewa sample za mbuzi na hivyo Wafuasi wa Magu kudai findings za Magu zipo right kwa sababu hata kwa wenzetu tatizo lilionekana. Je, ni kits ambazo hazijawa validated for clinical trials?

WHO wakatoa maelezo jinsi ya hizi rapid testing kits zinazovyofanya kazi na kutoa scientific estimation kwamba:-Kumbe Sensitivity rate yake ni 34% to 80%.

Ukifanya homework mwenyewe utaona Spain walilalamika kwamba sensitivity ya hizo kits ni only 30% wakati wao walitarajia ingekuwa at least 80%!

Kisha WHO wakasisitiza:-Again, mnataka kutuambia WHO wameiacha Tanzania iwe inatumia kwenye maabara zake Rapid Diagnostic Testing Kits pamoja na kwamba walishatoa tahadhali huko nyuma kwamba hizi sio za kuzitumainia?!

Katika ulimwengu wa kibepari hata WHO wanaweza kununuliwa na China ili kutoa hayo maelezo hapo juu ili kuwanusuru China na aibu.

What about other sources?

Mwaka 2013, almost 7 years before COVID-19 tovuti ya Science Direct inaelezea Rapid Diagnostic Testing kwamba:-Again, ina maana testing kits zilizo kwenye mahabara zetu na kukosolewa na JPM ni kama zile ambazo long time zimeshaelezewa zisitumike kufanya final conclusion au ni laboratory testing kits?

Kuna uhusiano gani kati ya kits zilizorudishwa nchi zingine kiasi cha kutumika kama justification ya kwamba JPM yupo sahihi kwa sababu hata kwa wenzetu hizo kits zimeonekana zina hitilafu?!

JPM ni Mwana Kemia. Je, ametuambia findings zake zimeonesha sensitivity ya zile kits ni asilimia ngapi?

Hitimisho ni kwamba, mnaweza kuendelea kuwalisha ujinga watu kwamba hata Ulaya hizi kits zilionekana zina hitilafu lakini ukweli ni kwamba kits ambazo zilionekana zina hitilafu sio hjzi ambazo ni clinically validated, and approved.

Of course errors lazima ziwepo manake hakuna mashine iliyo 100% efficient. Hata hizi laboratory kits zinakuwa na acceptable margin of errors; kwa mfano, ziwe na Sensitivity ya 95%.

NOTE: Sina muda wa kufanya proofreading, so pardon any errors!
Thank you. Your explanation is very exhaustive. Je, Bia Yetu haya anayaelewa?
 
Kwa hoja ya vipimo vyenye fault tunavyotumia kubaini novel coronovirus.

Kuhusu kusoma, wewe ndiye si msomi bali ni mbabaishaji tu. Endelea kubabaisha wengine siyo wasomi. Unakuja na hoja za rapid antibody diagnostic kits ambazo hakuna hata nchi moja inatumia kwenye mapambano ya janga hili! Usidandie fani usiyoijua sawa sawa. Your pineal gland needs to be checked up my fake doctor!
Angalia ulivyo zuzu, na ndo mtaji mkuwa wa JPM watu aina yenu! Yaani bila aibu unasema hakuna nchi inayotumia RDTs wakati umeoneshwa hapo nchi ambazo ilinunua hizo RDTs?

Hivi nyie watu mnafikiri kwa kutumia kichwa, au mnafikiri kwa kutumia nini hasa?!
 
Back
Top Bottom