Wataalamu wa epidemiology ya magonjwa wanasema hakuna aliye salama mpaka kila mmoja wetu amekuwa salama. What does this translate to in our case with regard to the way we are handling the pandemic?
Dunia haitakubali Tanzania iwe hotspot ya covid 19 transmissions, maana kama kwetu ndiyo reservoir ya virus, dunia yote itakuwa bado iko vulnerable to get transmission/attack as long as sisi ni "kisima" cha maambukizi duniani.
Time will tell!
Dunia haitakubali Tanzania iwe hotspot ya covid 19 transmissions, maana kama kwetu ndiyo reservoir ya virus, dunia yote itakuwa bado iko vulnerable to get transmission/attack as long as sisi ni "kisima" cha maambukizi duniani.
Time will tell!