Ok,mfano tukanunua aina fulani ya chanjo kwa mabilioni ya shilingi.. ikawa less effective..
Kwahiyo tunatununua tena aina nyingine ya chanjo kwa mabilioni ya shilingi.
Na vipi chanjo ambayo imeshadungwa kwa watu ,ikaonekana less effective , haiwezi kuleta madhara mwilini? Mfano umedungwa chanjo A ,ikaonekana haifai, ukadungwa chanjo B, mwili utakuwa salama?