Tman Clever
Member
- Dec 20, 2012
- 39
- 29
Covid19 ni virus?
Kama ndivyo
Virus : Non living organism outside of the host cell (si kiumbe Hai nje ya seli ya kiumbe hai)
Mate hayana seli za kumuhifadhi(to host) kirusi.
Je! Ni kwa namna gani Korona inaweza ambukizwa kwa njia ya hewa, (drop lets)?
Kawaida ya magonjwa ya virusi mtu akibahatika kupona yanamjengea Kinga mwili dhidi ya ugonjwa husika.
Ajabu ni kwa Korona haifanyi Hivi.
Ukipona, ikikupata Tena inakuenyesha kama Kawaida.
MASWALI KWA WATAALAMU WETU WA AFYA
#1 Korona ni ugonjwa wa virusi kweli(viral disease)??
Kama ndivyo ama sivyo;
#2 Korona inaambukizwa kwa njia gani haswa?
#3 Ulaya na Asia wanajikinga vizuri Sana ikiwemo kwa kuvaa Barakoa, ni kwa nini Korona inazidi kusambaa zaidi na zaidi?
**IFAHAMIKE KWAMBA
Sijabisha kuhusu uwepo wa Korona,
Mfano (pia siwezi Kuwa na mawazo finyu kama ya kupima HIV au COVID19 kwenye embe.
Kwa sababu :
@1 HIV virus tunapima Kinga mwili (Antibodies), na embe halina antibodies tuzipimazo
@2 Kipimo husika kinahitaji sampuli sahihi na kwa kiwango sahihi.)
Kama ndivyo
Virus : Non living organism outside of the host cell (si kiumbe Hai nje ya seli ya kiumbe hai)
Mate hayana seli za kumuhifadhi(to host) kirusi.
Je! Ni kwa namna gani Korona inaweza ambukizwa kwa njia ya hewa, (drop lets)?
Kawaida ya magonjwa ya virusi mtu akibahatika kupona yanamjengea Kinga mwili dhidi ya ugonjwa husika.
Ajabu ni kwa Korona haifanyi Hivi.
Ukipona, ikikupata Tena inakuenyesha kama Kawaida.
MASWALI KWA WATAALAMU WETU WA AFYA
#1 Korona ni ugonjwa wa virusi kweli(viral disease)??
Kama ndivyo ama sivyo;
#2 Korona inaambukizwa kwa njia gani haswa?
#3 Ulaya na Asia wanajikinga vizuri Sana ikiwemo kwa kuvaa Barakoa, ni kwa nini Korona inazidi kusambaa zaidi na zaidi?
**IFAHAMIKE KWAMBA
Sijabisha kuhusu uwepo wa Korona,
Mfano (pia siwezi Kuwa na mawazo finyu kama ya kupima HIV au COVID19 kwenye embe.
Kwa sababu :
@1 HIV virus tunapima Kinga mwili (Antibodies), na embe halina antibodies tuzipimazo
@2 Kipimo husika kinahitaji sampuli sahihi na kwa kiwango sahihi.)