COVID19: Dunia nzima inapotoshwa? Siasa kwenye Afya?

COVID19: Dunia nzima inapotoshwa? Siasa kwenye Afya?

Tman Clever

Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
39
Reaction score
29
Covid19 ni virus?
Kama ndivyo
Virus : Non living organism outside of the host cell (si kiumbe Hai nje ya seli ya kiumbe hai)

Mate hayana seli za kumuhifadhi(to host) kirusi.

Je! Ni kwa namna gani Korona inaweza ambukizwa kwa njia ya hewa, (drop lets)?

Kawaida ya magonjwa ya virusi mtu akibahatika kupona yanamjengea Kinga mwili dhidi ya ugonjwa husika.

Ajabu ni kwa Korona haifanyi Hivi.
Ukipona, ikikupata Tena inakuenyesha kama Kawaida.

MASWALI KWA WATAALAMU WETU WA AFYA

#1 Korona ni ugonjwa wa virusi kweli(viral disease)??

Kama ndivyo ama sivyo;

#2 Korona inaambukizwa kwa njia gani haswa?

#3 Ulaya na Asia wanajikinga vizuri Sana ikiwemo kwa kuvaa Barakoa, ni kwa nini Korona inazidi kusambaa zaidi na zaidi?

**IFAHAMIKE KWAMBA
Sijabisha kuhusu uwepo wa Korona,

Mfano (pia siwezi Kuwa na mawazo finyu kama ya kupima HIV au COVID19 kwenye embe.
Kwa sababu :
@1 HIV virus tunapima Kinga mwili (Antibodies), na embe halina antibodies tuzipimazo

@2 Kipimo husika kinahitaji sampuli sahihi na kwa kiwango sahihi.)
 
Wenye teknolojia zao kubwa na wasio na nazo wote tuko mashakani


Tukumbuke wosia wa JPM

Cc stakehigh
 
Covid19 ni virus?
Kama ndivyo
Virus : Non living organism outside of the host cell (si kiumbe Hai nje ya seli ya kiumbe hai)...
Watu wenye akili zaidi yako wamewekeza kwenye kuokoa maisha badala ya kuanzisha "ubishi wa kitoto." Nenda kawaletee porojo hizo Wamarekani waliopoteza takriban watu nusu milioni kwa korona, au Waingereza waliopoteza watu zaidi ya 120k. Na hapo hatujui Watanzania wenzetu wangapi wamefariki kwa janga hilo.

Huyo aliyewahadaa kuwa korona si lolote si chochote, it taught him mother of all lessons, it took away his life.
 
Maswali magumu mkuu!

WAJENZI WA KORONA NA WENYE TIBA YAKE NI WATU WABAYA SANA


Biblia takatifu, Kitabu cha Ufunuo 13

1 Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.

2 Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, yule joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi.

3 Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.

4 Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye?

5 Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake miezi arobaini na miwili.

6 Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni.

7 Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda, akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha na taifa.

8 Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.

9 Mtu akiwa na sikio na asikie.

10 Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye subira na imani ya watakatifu.

11 Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka.

12 Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.

13 Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.

14 Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.

15 Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.

16 Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;

17 tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.

18 Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
 
Watu wenye akili zaidi yako wamewekeza kwenye kuokoa maisha badala ya kuanzisha "ubishi wa kitoto." Nenda kawaletee porojo hizo Wamarekani waliopoteza takriban watu nusu milioni kwa korona, au Waingereza waliopoteza watu zaidi ya 120k. Na hapo hatujui Watanzania wenzetu wangapi wamefariki kwa janga hilo.

Huyo aliyewahadaa kuwa korona si lolote si chochote, it taught him mother of all lessons, it took away his life.
Watu wenye akili ujibu hoja Baada ya hoja Kisha kuelimisha mtu alipopotoka.

Hoja hujaigusa hata moja, hiyo ndio akili yako kubwa??
 
Covid19 ni virus?
Kama ndivyo
Virus : Non living organism outside of the host cell (si kiumbe Hai nje ya seli ya kiumbe hai)...
Umejenga hoja za kisayansi to some extent, lkn kumbuka kuwa a virus outside the living cell does not die instanteniously. It retains its viability outside the living cell and multiplies when conducive environment ensues!
 
Biblia takatifu, Kitabu cha Ufunuo 13

1 Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru...
Revelation does not have a room in science
 
Umejenga hoja za kisayansi to some extent, lkn kumbuka kuwa a virus outside the living cell does not die instanteniously. It retains its viability outside the living cell and multiplies when conducive environment ensues!
Sawa Sawa mkuu, jibu zuri Sana Sana,

# ILA
Huyu virus anapatikanaje nje ya host?
Ndio miongoni mwa maswali yangu. Kama umeuelewa uzi.
 
Watu wenye akili zaidi yako wamewekeza kwenye kuokoa maisha badala ya kuanzisha "ubishi wa kitoto." Nenda kawaletee porojo hizo Wamarekani waliopoteza takriban watu nusu milioni kwa korona, au Waingereza waliopoteza watu zaidi ya 120k. Na hapo hatujui Watanzania wenzetu wangapi wamefariki kwa janga hilo.

Huyo aliyewahadaa kuwa korona si lolote si chochote, it taught him mother of all lessons, it took away his life.
Acha ujinga!
 
Watu wenye akili zaidi yako wamewekeza kwenye kuokoa maisha badala ya kuanzisha "ubishi wa kitoto." Nenda kawaletee porojo hizo Wamarekani waliopoteza takriban watu nusu milioni kwa korona, au Waingereza waliopoteza watu zaidi ya 120k. Na hapo hatujui Watanzania wenzetu wangapi wamefariki kwa janga hilo.

Huyo aliyewahadaa kuwa korona si lolote si chochote, it taught him mother of all lessons, it took away his life.

we ni mpuuzi tu na mzigo wa nchi, watu wanauliza maswali yenye vichwa we unaleta njaa zako za umaskini apa,
 
we ni mpuuzi tu na mzigo wa nchi, watu wanauliza maswali yenye vichwa we unaleta njaa zako za umaskini apa,
Bahati mbaya halijawahi kufahamu kwamba linauelewa mdoogo sana na ni mtu mmoja hivi amekaa kimama,mama sana!!😝
 
Back
Top Bottom