COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

Nilivaa mask kwa daladala siku moja maana nilikua na mtoto wa miaka mitatu raia waliniangalia utadhani ndio nawaletea uchuro nikasema kweli waswahili miyeyusho
Vituo vya mwendo kasi leo walikuwa wanapiga dawa.

Wabongo wananawa mikono vyema tu tatizo masks yani bado ukivaa unaonekana kituko cha karne ya 30.

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Tumesema sana hapa, hadi vidole vikawa vinauma! Wengine tukawa tunasema kwa mifano hai ni namna gani mataifa yote yaliyoanza na mizaha kwenye coronavirus inavyoangamia hivi sasa!!

Tukatoa mifano ya mizaha iliyokuwa inaletwa na Iran na kuwaambia watu kwamba Iran italindwa na Mungu!

Tukatoa mifano ya Spain ambayo Daktari Mkuu wa Magonjwa ya Dharula alipotamka hadharani kwamba Spain haiwezi kuathirika kwa sababu hawashei mpaka na Italy!!

Tukatoa mifano ya mizaha ya Trump ambae siku anahojiwa back January aliongea kwa mbwembwe kwamba "everything is under control" na wana mgonjwa mmoja tu kutoka China! Trump akaendelea na mizaha yake ni kuwakejeli Iran kwamba US ina professionals wa kutosha kwahiyo wapige tu goti wataenda kuwasaidia!!

Mizaha kama hiyo ikaletwa tena na Magufuli huku misukule yake ambayo utadhani mazuzu, ikawa inatetea na ku-justify maono yake ya hovyo!!

Yaani Magufuli na PhD yake hadi leo anaamini Mzungu ni mtu mwema sana na kwa kumpenda Mwafrika, ndio maana Mzungu akaamua kutuletea Yesu ili, pamoja na mambo mengine, hatimae Bwana Yesu aje kuwa kinga na tiba ya magonjwa mbalimbali kwa Waafrika!

Mazuzu yakapiga makofi na vigelegele!!!

I hate to say this: Kwa hapa tulipofikia kuidhibiti coronavirus itakuwa ngumu sana kwa sababu imeshaingia mtaani! Tulishapoteza chance ya kuudhibiti huu ugonjwa pale airport!!

Desperation aliyonayo Trump hivi sasa ni kwa sababu na yeye hadi anakuja kushituka kwamba hii issue ni serious, ilishakuwa too late!!
 
Salary Slip,
Duh yani case za watu wenye corona Dar unafananisha na huko Italy kwa vigezo gani kwanini usifananishe labda na kenya au Rwanda? maana Dar hawapukutiki watu kama huko Italy au Us.
 
Back
Top Bottom