Source
Wale 6 wa Zanzibar mbona siwaoni hapo?
Taarifa hii ina ukweli kiasi gani? Nawaomba wana Jf tusiwe chanzo cha taaluki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cooked data
Mungu ibariki TanzaniaMWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI
Wizara ya Afya inathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya 29 wa COVID-19 nchini. Hadi sasa Tanzania idadi ya Wagonjwa imefikia 88 na wote wanaendelea na matibabu chini ya uangalizi wa wataalam afya.
View attachment 1419996
Sasa tunaelekea kupata Take-Off Speed kwenye runway ya kupaa kuelekea kiwango cha maambukizi ya COVID-19 cha USA, Italia na Spain.Exponential graph inaanza kupanda sasa,sio?
Kigamboni wafanyakazi wa TIPER wako karantiini tangu jana. Bosi wao alikutwa na virus.Kwa siku 14 jengo la Life House halitakuwa na huduma ya lift kuanzia kesho, Kuna mfanyakazi ghorofa ya tatu kafa na vijirusi. Pia watapuliza dawa jengo zima.
Kuna jamaa mwingine alikuwa na bar maarufu, nae kaenda kimya kimya, naona Sasa hiii ni ngoma ya kimya kimya