Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Baada ya kunyimwa msaada ndio mmepata akili ya kutaja idadi sahihi,bado tajeni wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mask unavaa ikiwa unakohoa na dalili zingine,ikiwa wewe huna tatizo mask si muhimu kwako, eleqwni hivyoVituo vya mwendo kasi leo walikuwa wanapiga dawa
Wabongo wananawa mikono vyema tu tatizo masks yani bado ukivaa unaonekana kituko cha karne ya 30
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Kuzungumza lugha moja ndo kukoje, kwamba wewe tayari umeambukizwa unaombea na wengine ili kuongea hiyo lugha moja, au mwenzetu wewe bado unaendekeza ushabiki kwenye Jambo hili, na au mwenzetu umeshaji lockdown tayari
Hesabu ulipata ngapi mkuu?Ongezeko la 105% ndani ya saa 24
Kunawa mikono bila kuacha kuzurura ovyo haitoshi.Taarifa hii ina ukweli kiasi gani? Nawaomba wana Jf tusiwe chanzo cha taaluki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo bana hamtaki kujishughulisha ili kupata ukweli wa habari kazi kusema ni za kupikwa tu.! Pitia page za vituo vya habari kwenye mitandao; fungulia hata redio basi ujihakikishie kabla ya kuja kusema ni za kupikwa.!!Cooked data
Nenda New York ukawaambie hivyo.Corona nikama ugonjwa wa mafua na haina madhara kwa mtu mweusi
Tuiombe pia serikali iache ukatili na itubu kwa Mola, tangu enzi za akina azoli, ben saa8, ishu ya miili ktk viroba, risasi kwa tundu lisu, watu kutekwa na wasiojulikana, ubabe wa serikali, uvunjifu wa demokrasia huku watanzania tukikaa kimya pasi na kuchukua hatua sasa Mola kakasilika na anatuadhibu soteMungu ibariki Tanzania
Hili janga halichagui chama jamaniAcha uchawi bwashee!