COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

Naumia sana maana nina ndugu wengi wana HIV,ninalia kwa ajili yao. This Covid is becoming worse and worst.
Pole sana Mkuu, huu ugonjwa naona ukikupata ukiwa na afya njema ni ngumu kukuondoa..

Ila kama una magonjwa ya muda mrefu kama HIV ikikupata chance of survival ni 25% maana hao virus wanasababisha inflammation wa alveoli mwisho wa siku suala la upumuaji ni shida..

Cha msingi ni kuomba usikupate maana ukikupata tayari hautokua na afya kama ya mwanzo, utakuwa umepata doa tayari..

Mungu atuepushe kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni muda sasa wa jiwe kutoka mafichoni uko kijijini arudi mjini na kutoa tamko

#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
 
Wapatikana wp

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo mikocheni Mkuu, for your safety and your family zitafaa sana...

Zile zinazouzwa kwenye pharmacy mara nyingi ni disposable ndani ya muda mchache na ukiangalia ukivaa ndani ya masaa machache haitaminiki tena maana ubora wake unapungua..

Mfano wa Facial mask ninazo uza ni hizi hapa..

90472269_10163219822430453_5263169275182448640_o.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona video clip ya ITV ya minada ya samaki ferry, yaani ule umati!
Zile picha za Pasaka pia, yaani watu watakuwa wamegawana sana Corona.
Wiki mbili zijazo mambo yanaweza kuwa magumu sana.
 
Na hawa ni waliopimwa. Hizi cases 26 za leo most likely kila moja imeshainfect atleast 3 other people

Hivi mpaka tugonge cases ngapi ndo Magufuli na watu wake washtuke?

The earlier the better: piga stop mikusanyiko isiyo na tija. Ni bora tuumie kidogo economically sasa kuliko baadae
 
kwa ushauri wangu na experience ya ebola maana nilikua kwenye nchi ilioathirika na ebola
Bar na kumbi zote za starehe zifungwe.

viongozi mpaka wa ngazi za chini wapewe elimu ya kutosha ili waweze kuhamasisha watu kujua basics za kujikinga.

Kama vile wanavyotengeneza vipeperushi vya kampeni za uchaguzi wafanye hivyo hata kwenye kampeni ya corona.

vyombo vyote vya habari vizungumzie kuhusu corona na jinsi inavyoua na kuambukizwa , na wato idadi ya vifo nchi nyingine.

kila baada ya dakika 15-30 corona iongelewe ,watu wataogopa na kuanza kuchukua hatua ,lakini mpaka sasa sijaona ile serious kampeni kama ya kutafuta kura.

wahusika kama watasoma hapa wabuni mbinu mpya za kupambana na hii kimeta ya binadamu
 
Back
Top Bottom