Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Analeta usomi kwenye mambo realMshangae huyo anakwambia eti corona haiwezi kwisha bila chanjo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analeta usomi kwenye mambo realMshangae huyo anakwambia eti corona haiwezi kwisha bila chanjo
Una list ya izo GUEST HOUSE mkuu? Tafadhali share.Mkuu huna sababu ya kutukana watu kachspe kazi usife na njaa,Magufuli kushstoa magari mapya ,25 ya kuwapeleka kazini na makonda katangaza guest 25 za kulala bure Kama umepiga kazi sans na ukaons kurudi home kwako ni kupoteza muda,please kachspe kazi
Hayo sio maneno yangu; ni ya RC wa Daa. Au nimefanya vibaya kunukuu alichokisema? Au kunukuu maneno yake ndo kumtetea? Mi naweza kutetea upuuzi! Nitake radhi.Endeleeni kutetea ujinga..kisa uccm
Usidanganye watuMask unavaa ikiwa unakohoa na dalili zingine,ikiwa wewe huna tatizo mask si muhimu kwako, eleqwni hivyo
Kama huamini kuwa lockdown itawakinga wale ambao hawajambukizwa kuambukizwa toka kachape kazi mkuu,tutafanya lockdown pale kila nyumba utakapokuwa na maambuki tayari ili yale magari mapya yapate kazi ya kubeba maiti
Tafuta humu jamvini zipo Ila naikumbuka Mloganzira,Amana na MuhimbiliUna list ya izo GUEST HOUSE mkuu? Tafadhali share.
Jack Ma alitoa za bureMikoa iliyoathirika ifungwe watu wasitoke nje ya mikoa hiyo wala kuingia, Masks ziwe ni lazima kuvaa kwa kila raia
Najikuta nasahau kama kuna Corona thanks babeMi Sweetness 😘
Bahati mbaya muda huo kila familia itakuwa imeadhirika tayari,nadhani wanayatafutia kazi hayo magari mapyaLockdown will come by default! Yaani Kama mwendo wa tren, sasa imefika pugu na imechanganya balaa
Nilikuwa na masikitiko,hii comment imenibidi nicheke tu.ile kauli kwamba tusitishane bado ipooo?