Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 913
- 844
Akili finyu mawazo mgando!Dah...Kwani April kulikuwa na vifo vingapi vya saratani? Malaria? Utapiamlo? Ajali? Mbona havitangazwi?...au hatuhitaji kuvijua ili tujilinde navyo?...Au vifo vya corona ndiyo muhimu zaidi? [emoji41]
Sent using Beretta ARX 160