#COVID19 COVID19: Watanzania tusipuuzie Corona; si lazima tutangaziwe vifo na maambukizi kila siku ili kujilinda

Status
Not open for further replies.
Takwim
Vichwa vya watanzania kama vyote vimeharibika vile; hivi kweli mtu unatilia shaka umuhimu wa takwimu; eeeh Mungu tuondolee huyu Kofuli maana amefanya hii nchi kuwa ya mambumbu!
Takwimu itolewe kwa magonjwa yote hatari sio tu corona,hujui kuwa tupo tunaopuuzia kushusha neti?
 
Zote zinatakiwa zitangazwe kila siku,ziwepo mtandaoni.
 
Vinatakiwa vitangazwe,kutotangazwa ni kwa sababu ya umaskini na uzembe.
Dah...Kwani April kulikuwa na vifo vingapi vya saratani? Malaria? Utapiamlo? Ajali? Mbona havitangazwi?...au hatuhitaji kuvijua ili tujilinde navyo?...Au vifo vya corona ndiyo muhimu zaidi? [emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Wa
Wewe haujazuiwa kutangaza twkwimu za watu wako wa karibu,ebu tuambie wangapi wako positive na wangapi wamefariki udijutie una huruma kwa watu wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachotaka wao sisi ndo tufanye kisa ngozi nyeupeee au wanaakili Sana kutuzidii, au wao ndo wanatuongoza?ila chuma kawadindia kudadeki Hadi namkumbuka Mugabe aisee
 
Kutangazwa sio lazima usomewee kama taarifa ya habari kila siku,hata wakiwa wanaweka mtandaoni na kufanya update kila siku au wiki ni sawa na kutangaza.
Dah....Waamerika hawatagazi pia vifo visivyo vya Corona....au hawafi kwa ajali au magonjwa mengine?

Sent using Beretta ARX 160
 
Kutangazwa sio lazima usomewee kama taarifa ya habari kila siku,hata wakiwa wanaweka mtandaoni na kufanya update kila siku au wiki ni sawa na kutangaza.
wewe jipe jukumu la kujua mtaani kwako wanakufa wangapi,utapata picha nini kinaendelea.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…