Cowiti anusurika kuuawa Tarime na genge la wauaji, wadhurumati, wafanya magendo wakishirikiana na baadhi ya maafisa, asota mahabusu

Cowiti anusurika kuuawa Tarime na genge la wauaji, wadhurumati, wafanya magendo wakishirikiana na baadhi ya maafisa, asota mahabusu

Ule mkoa ni tatizo upigaji wao, ujuaji wao yaani mkoa potential lakini hauna kitu cha maana upo upo tu kama vijijini lakini wana dhahabu, uvuvi, biashara,
Ni kweli. Wenyeji wasipojitambua wataendelea kuwa hapo hapo.
 
Zaidi wanatuhumiwa watendaji wake wasio waaminifu sio Idara nzima
Sasa hao wwnaolalamikiwa wanatoka idara gani?

Nasema hivi kwa sababu, baada ya wanasiasa kuliharibu jeshi la polisi sasa wamehamia idarani. Wanawapa kazi chafu zisizo na manufaa kwa taifa na hapo ndipo wanapowapa loophole ya kufanya yao kama wanadamu wa kawaida
 
Sasa hao wwnaolalamikiwa wanatoka idara gani?

Nasema hivi kwa sababu, baada ya wanasiasa kuliharibu jeshi la polisi sasa wamehamia idarani. Wanawapa kazi chafu zisizo na manufaa kwa taifa na hapo ndipo wanapowapa loophole ya kufanya yao kama wanadamu wa kawaida
Ni kweli kabisa. Bahati mbaya sana recruitment ya siku hizi sio kama zamani. Hawaangalii tena uwezo bali kujuana.
 
Ni kweli kabisa. Bahati mbaya sana recruitment ya siku hizi sio kama zamani. Hawaangalii tena uwezo bali kujuana.
Seems wanaangalia UTII KWA CHAMA na siyo Uzalendo kwa Nchi.

Tunahitaji Taasisi imara zinazowajibika na kuwajibisha.

Huu mchezo wa kutudukua wananchi inaleta maana kuwa adui mkubwa wa nchi ni mwananchi anayekosoa
 
Seems wanaangalia UTII KWA CHAMA na siyo Uzalendo kwa Nchi.

Tunahitaji Taasisi imara zinazowajibika na kuwajibisha.

Huu mchezo wa kutudukua wananchi inaleta maana kuwa adui mkubwa wa nchi ni mwananchi anayekosoa
Ni sahihi kabisa. Wanataka kila mtu afikirie kama wao na kutenda kama wao.


Hata wakikosea hawataki kuambiwa ukweli. Hili ni janga kubwa sana.
 
Nasikia hapo Criss Hotel mnalewa na bastola mezani, eti ukitaman demu wa mchimba dhahabu Nyamongo hata kama ni kuuza bar wanakutindua risasi na hakuna kesi.

Nikawaza Tarime ni Taifa huru ama???

Pili rekodi ya ukeketaji mabinti nadhan imevunja rekodi desemba ya mwaka 2022 tena hadharani na hao mabinti wanapita barabaran wakicheza na kualika sherehe ya kukeketwa, Taasisi kibao pamoja na kuwekeza resources huko, pamoja na kupeleka kanda maalum ya kipolisi hali imezidi kuwa mbaya zaidi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Angalieni hili eneo jaman litakuja kuleta shida mbeleni...
Mkisema yanini hayatuhusu msije shangaa kutumia garama kubwa sana kupaweka msitarini.
 
kanda ya ziwa kuna mafia sana.
kuna jamaa mkoa x na wilaya X alikuwa anatapeli watu kwa mikopo yenye riba za ajabu .
alifatwa na V8 nyeusi kama kawaida yetu ukamataji usioeleweka na ilisikika kwa mke wake akimpigia washanitoboa macho. mpaka leo!.

Watu wanapotea na serikali inawabeba haya makundi.kuna siku tutafika tutaishi kama
mexico yani polisi inaomba msaada wa nchi zenye uwezo kupambana na magenge.
 
Back
Top Bottom