MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Wajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.
Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.
IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.
Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.
IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.
Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.