CP Salum Hamduni anastahili kuwa IGP Mpya

CP Salum Hamduni anastahili kuwa IGP Mpya

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Wajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.

Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.

IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.

Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
 
Operation gani Kali serious za kipolisi alishawahi endesha kwa ufanisi

Elezea
Jibu ni hakuna

Zaidi ni mahaba ya kipumbavu aliyonayo kwa muhusika plus hila za udini na ukanda, japo kajiandikisha: "Wajameni sitaki kuongelea sura ya mtu, imani, rangi au ukanda"
 
Wajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.

Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.

IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.

Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
Kwa nini siyo promo hii?

Umetaja madhaifu ya Siro, kwa nini usiweke wazi sifa za unayempigia promo, umeishia tu kusifia blah blah bila ya kuweka ama kutaja vigezo vyovyote?

Kwanza tujiulize, huyo mtu unayemuombea u Igp, tangia awekwe Takukuru kaleta mabadiliko gani chanya yenye kuonekana katika taasisi hiyo?

Halafu mi'huwa namuona ni kama jamaa mwenye haiba flani ya upole wenye kupitiliza ambaye angefaa kuwa "mchungaji" wa kanisa flani ama Shehe wa nsikiti?

Ujue kuna ngazi za uongozi wa kadi flani hazitakiwi lelemama ama kupelekwa kisiasa kwa ajili ya kufurahisha watu, hasa hizi kada za kutiisha sheria.
 
Jibu ni hakuna

Zaidi ni mahaba ya kipumbavu aliyonayo kwa muhusika plus hila za udini na ukanda, japo kajiandikisha: "Wajameni sitaki kuongelea sura ya mtu, imani, rangi au ukanda"
Kwani kwa Sasa jeshi la police Lina makamisha wangapi? Au yupo huyu mmoja tuu Hamu Duni?
 
Kwani kwa Sasa jeshi la police Lina makamisha wangapi? Au yupo huyu mmoja tuu Hamu Duni?
Kwa michache tunayojua, hakupenda jeshi kufanya kazi za kisiasa za kudhibiti upinzani au za kihalifu kama kuteka raia na kuwaua kubambikia kesi, kupora mali na fedha, kulazimisha rushwa, na dhuluma nyingine nyingi. Mengine kumhusu hatuyajui, na hatuna sababu za kuyajua kuliko mamlaka za juu yake.

Kwa sifa hiyo pekee, Hamduni ni kiongozi anayefaa kuliondoa jeshi la polisi kwenye uozo lilikojiingiza au lilikoingizwa na wanasiasa. Pia yawezekana akawa kiongozi sahihi wa kusimamia mabadiliko "reforms" mbalimbali kw3nye jeshi hilo, ili kulisogeza kwa wananchi, na kulifanya liwe la wananchi, kuliko lilivyo sasa la serikali.
 
Vita ya maslahi ni mbaya sana wallah....
Mara Suzy, mara Hamdun....???
Yaani polisi mnatuchanganya sana wananchi.
Ebu mzee Nyakoro uje humu Kyabakari upumzike ama ikikupendeza rekebisha pale Makutini Ushirombo ukale mema ya dunia, na hata hili geto lako pale mitaa ya neshno karibu na kona ya kuelekea Boys Tabora jazz pa akufaa ukipumzika kwa muda.
Baba ebu mwaga ndaluga, usisubirie kuondokakwa aibu.
 
Jibu ni hakuna

Zaidi ni mahaba ya kipumbavu aliyonayo kwa muhusika plus hila za udini na ukanda, japo kajiandikisha: "Wajameni sitaki kuongelea sura ya mtu, imani, rangi au ukanda"
Wewe ndiye aliyeleta issue ya udini au ukanda. Sisi hatujali dini, kabila wala rangi. Tunataka IGP mchapa kazi kiaminifu, anayefuata sheria na asiyetumika. Polisi imejaa hongo
 
Kwa michache tunayojua, hakupenda jeshi kufanya kazi za kisiasa za kueka raia na kuwaua kubambikia kesi za kisiasa au za dhuluma nk. Mengine kumhusu hatuyajui, na hatuna sababu za kuyajua kuliko mamlaka za juu yake.

Kwa sifa hiyo pekee, Hamduni ni kiongozi anayefaa kuliondoa jeshi la polisi kwenye uozo lilikojiingiza au lilikoingizwa na wanasiasa. Pia yawezekana akawa kiongozi sahihi wa kusimamia mabadiliko "reforms" mbalimbali kw3nye jeshi hilo, ili kulisogeza kwa wananchi, na kulifanya liwe la wananchi, kuliko lilivyo sasa la serikali.
Hujaelewa, sifa za. Hamduni nimezisikia Sana, nimeuliza swali moja tuu kwa Sasa jeshi la police Lina makamishna wangapi au ni huyp Hamduni tuu? Hujajibu swali.
 
Wajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.

Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.

IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.

Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
Mkuu, yule CP awadhi ndio ingemfaa hiyo nafasi, yule bwana kiboko ya mapolisi wenye Tabia chafu, Kuna mwaka wakati namiliki daladala, aisee nilikuwa nikienda kuwafuata madereva wangu pale ostarbey polisi, nilikuta mne ndani lockup Kuna askari kibao wamewekwa lockup na awadh sababu ya uzembe,

Tena askari wa chini wanamuogopa huyo Awadhi kuliko maelezo, we fanya utafiti kwa kuwahoji maaskari wenyewe wanamjua, huyo Awadhi ndio alimkamataga mke wa Agustino Maige kwa kosa la barabarani
 
Kwa michache tunayojua, hakupenda jeshi kufanya kazi za kisiasa za kudhibiti upinzani au za kihalifu kama kuteka raia na kuwaua kubambikia kesi, kupora mali na fedha, kulazimisha rushwa, na dhuluma nyingine nyingi. Mengine kumhusu hatuyajui, na hatuna sababu za kuyajua kuliko mamlaka za juu yake.

Kwa sifa hiyo pekee, Hamduni ni kiongozi anayefaa kuliondoa jeshi la polisi kwenye uozo lilikojiingiza au lilikoingizwa na wanasiasa. Pia yawezekana akawa kiongozi sahihi wa kusimamia mabadiliko "reforms" mbalimbali kw3nye jeshi hilo, ili kulisogeza kwa wananchi, na kulifanya liwe la wananchi, kuliko lilivyo sasa la serikali.
Huyu mie namjua maana wote tumezaliwa nzega,tabora japo ni mdogo kwangu,kasoma sheria,akaingia tiss,na kapita jeshini pia,ni mkimya,haba makuu,haogopi na ana ujasiri wa hali ya juu,baba yake ba mana yake ni waarabu,ika baba alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na ndugu zake wote wamesoma.sasa kuwa igp siwezi kujua,rushwa hapokei na anasaidia wanaonewa sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.

Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.

IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.

Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
Kwa uzoefu tulio nao haya majeshi wakati mwingine ukitaka ufanikiwe chukua mtu kutoka nje ya mfumo wao wengi tunatarajia safari hii IGP ateuliwe kutoka Jeshi La Wananchi km ilivyo fanyika kwa magereza na hata Zimamoto kwa kutoa watu nje yametulia majeshi hayo dawa ni hiyo tu.
 
Wajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.

Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.

IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.

Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
Na ndiyo anaenda kuwa IGP mpya muda si mrefu Ndugu kawekwa hapo ili Kuandaliwa vyema Kimedani.
 
Back
Top Bottom