Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simjui kwa undani Mkuu..Ila upole ni sura tu,nadhani huwa anajisimamia wakati mwingine,alikataa mchongo wa Sabaya wa kutaka kuwaundia tuhuma feki wafanyabiashara fulani,huko Kilimanjaro,akiwa RPC huko,tena enzi za mwendazake..' Nilisoma Uzi humu'..Wale wafanyabiashara walikataa kutoa ngawila Kwa Sabaya..Kwa nini siyo promo hii?
Umetaja madhaifu ya Siro, kwa nini usiweke wazi sifa za unayempigia promo, umeishia tu kusifia blah blah bila ya kuweka ama kutaja vigezo vyovyote?
Kwanza tujiulize, huyo mtu unayemuombea u Igp, tangia awekwe Takukuru kaleta mabadiliko gani chanya yenye kuonekana katika taasisi hiyo?
Halafu mi'huwa namuona ni kama jamaa mwenye haiba flani ya upole wenye kupitiliza ambaye angefaa kuwa "mchungaji" wa kanisa flani ama Shehe wa nsikiti?
Ujue kuna ngazi za uongozi wa kadi flani hazitakiwi lelemama ama kupelekwa kisiasa kwa ajili ya kufurahisha watu, hasa hizi kada za kutiisha sheria.
Wenye nchi yao watakupinga weeeeee,Wajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.
Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.
IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.
Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
Hii hapa , ya wizi wa kura Jimbo la Ukonga hebu mwangalie alivyosimama kwa ukakamavuOperation gani Kali serious za kipolisi alishawahi endesha kwa ufanisi
Elezea
Hamduni huyuhuyu?Kwa michache tunayojua, hakupenda jeshi kufanya kazi za kisiasa za kudhibiti upinzani au za kihalifu kama kuteka raia na kuwaua kubambikia kesi, kupora mali na fedha, kulazimisha rushwa, na dhuluma nyingine nyingi. Mengine kumhusu hatuyajui, na hatuna sababu za kuyajua kuliko mamlaka za juu yake.
Kwa sifa hiyo pekee, Hamduni ni kiongozi anayefaa kuliondoa jeshi la polisi kwenye uozo lilikojiingiza au lilikoingizwa na wanasiasa. Pia yawezekana akawa kiongozi sahihi wa kusimamia mabadiliko "reforms" mbalimbali kw3nye jeshi hilo, ili kulisogeza kwa wananchi, na kulifanya liwe la wananchi, kuliko lilivyo sasa la serikali.
Huu ni uongo wa wazi, hamduni huyuhuyu aliyekua RPC Arusha??Huyu mie namjua maana wote tumezaliwa nzega,tabora japo ni mdogo kwangu,kasoma sheria,akaingia tiss,na kapita jeshini pia,ni mkimya,haba makuu,haogopi na ana ujasiri wa hali ya juu,baba yake ba mana yake ni waarabu,ika baba alikuwa mwalimu wa shule ya msingi na ndugu zake wote wamesoma.sasa kuwa igp siwezi kujua,rushwa hapokei na anasaidia wanaonewa sana
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Anavaa kanzu harafu anatoka kwetu OmanWhy Hamduni
Tunajua mnataka kumuondoa Nsiro kwa kuwa yeye hajali huyu ana cheo au la kama mnavyotaka. Sasa mtoeni tu na watoeni Mawaziri wote, manaibu wao, wakuu wa mikoa na wilaya wawekeni watu wenu mzudi kufurahi maana mpaka sasa hamjaridhika!Wajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.
Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.
IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.
Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
Msimamo wake akiwa kaskazini, alipokataa kutumiwa na Sabaya ili awaonee wafanyabiashara suala la reli.Operation gani Kali serious za kipolisi alishawahi endesha kwa ufanisi
Elezea
Mfumo wa kumpata mkuu wa polisi watakiwa kukarabatiwa.Jeshi la Polisi ndiyo jeshi pekee linalotumiwa vibaya zaidi na wanasiasa. Amini, usiamini, hata kama mmoja wa malaika wa Mungu atashuka kuja kuwa IGP, bado Jeshi la Polisi litaendelea kuwa tatizo kwa Watanzania!
Mfumo wa kumpata mkuu wa polisi watakiwa kukarabatiwa.
Hapa kwetu wenye nyota (Commissioned Officers) ni uteuzi wa rais na hapo ndio siasa inapoingilia. Wenzetu Kenya baada ya kupata matatizo ya rushwa na ukabila kwa miaka mingi, wameanza utaratibu wa WAZI zaidi. Waombaji wanatuma maombi, wanachujwa na baadae kufanya interview ya WAZI kwa tume maalum. Mshindi ndio anateuliwa na Rais. KENYA’S NEW POLICE CHIEF APPOINTMENT - kenyaforum.net
Sasa wako mbioni kuanza hayo kwenye hatua ya County ambayo kwetu huku ni MKOA
Pole na kushindwa ramli. Amekuwa RASWajameni sihitaji kuongelea sura ya mtu, Imani, rangi au ukanda, hapa nazungumzia weledi na hofu ya Mungu. Huyu bwana ana busara, mweledi, mwelewa, ana hofu ya Mungu na ni Mchapakazi.
Kutokana kama kashfa nzito zinazolikabili jeshi la polisi hivi sasa, ni kweli linahitaji mtu aina ya Salum Hamduni. Waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, huyu bwana anastahili nafasi hii. Uozo uliopo ndani ya Polisi unahitaji mtu makini na mfuatiliaji na siyo mpiga kelele tu.
IGP Siro siku zote tunasema ni Operational Officer na siyo National Leader, siyo mtu wa kufanya maamuzi ya kiuongozi ndiyo maana tunaona jeshi limemshinda, yeye alisikia tu kelele keshakimbia site na kupiga mikwara na kelele lakini mbinu za kumaliza tatizo hana. Hana mbinu za kisasa kulisimamia jeshi.
Mama ikimpendeza amteue Salum Hamduni kwenye nafasi hii, hanijui mimi kwa namna yeyote ile na wala simpigii promo lakini ninamfahamu kwa uchapa kazi wake.
Hii ni zaid ya DimooPole na kushindwa ramli. Amekuwa RAS