Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 726
Ronaldo settles Supercoppa to lift his first Bianconeri tropView attachment 996940
Asante kwako pia, NumbisaShukran chipolopolo
Kwani kukosa penati ni ishu kiasi hicho au ndio mara ya kwanza kushuhudia? Tena timu ikibaki na ushindi
Kwani kukosa penati ni ishu kiasi hicho au ndio mara ya kwanza kushuhudia? Tena timu ikibaki na ushindi
Huku wenzake wanakosaga fainali na timu zao za taifa penalt muhimu za kuibeba nchi wanapaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisa kakosa penalt?ukweli utaendelea kubakia kama jamaa alikua ndio worst player on the pitch
Kwani ronaldo anachezaga rede.Kama kawaida yenu CR7 fans, hamuna habari kabisa na football zaidi ya kudili na Ronaldo.
Real walicheza UEFA Super Cup msimu huu, Na Benzema alifunga goli.
Kama akicheza yeye vizuri au kufunga ni katika kuisaidia timu ishinde sasa kama timu imeshinda kucheza kwake vibaya au kukosa penalt kunaigharimu vipi timu yake?Bila yashaka hukutizama game.
Goli la dakika ya 88 kwa mkwaju wa penati uliopigwa na Cristiano Ronaldo umeifanya Juventus kujisimika kileleni kwa tofauti ya alama 11.
Mchezo huo ulianza kwa Lazio kuwatangulia Juve katika dakika 59, Juve wakasawazisha kupitia Canselo dakika ya 74 na Ronaldo kupiga msumari wa pili na wa ushindi dakika mbili kabla ya mchezo.
Ronaldo alisajiliwa kwa dau la pauni milioni 99.2 mwaka jana, na tayari ameshaifungia Juventus magoli 17.
Mechi hiyo ilionekana kama Juve wataipoteza, na ingekuwa kipigo cha kwanza msimu huu kwa miamba hiyo.
Timu hiyo inayonolewa na Massimiliano Allegri sasa inaonekana dhahiri kunusa ubingwa wa Serie A kwa mara nane mfululizo baada ya timu inayowafukuzia ya Napoli kutoka sare na AC Milan.