CR7, mchezaji mjivuni asiye na kipaji

CR7, mchezaji mjivuni asiye na kipaji

Messi
Pele
Maradona
Gaucho
Zidane
Zico
Ronaldo de Lima
Rivaldo.
Iniesta
Xavi..
Mbappe.
Ngolo Kante..
.
Unamkosea heshima Busquests kutokuwepo alafu kinyago kante kipo
 
Habari za mda huu,

Leo katika pita pita zangu mtandaoni nimeona bwana CR7 Hajawahi hata kufika semi final world cup

Yaani kiufupi status yake kwenye kombe ya dunia anazidiwa na Zyech, licha ya kuzungukwa na Bruno, Bernado, Cancelo, Neves nk.

Huyu hakika ni mchezaji wa kawaida sana.

PROFESSIONAL MIDIOCORE PLAYER
Itoshe tu kusema mjivuni, lakini kusema Hana kipaji!!! Lala tu usihangaike.
 
Habari za mda huu,

Leo katika pita pita zangu mtandaoni nimeona bwana CR7 Hajawahi hata kufika semi final world cup

Yaani kiufupi status yake kwenye kombe ya dunia anazidiwa na Zyech, licha ya kuzungukwa na Bruno, Bernado, Cancelo, Neves nk.

Huyu hakika ni mchezaji wa kawaida sana.

PROFESSIONAL MIDIOCORE PLAYER
Unazi mbaya, kama unadhani mafanikio aliyopata yanatokana na juhudi na upambanaji tu nafikiri wachezaji wote wangeyapata. Karibu kumwambia hata mdogo wako apambane nadhani ataweza.
 
Habari za mda huu,

Leo katika pita pita zangu mtandaoni nimeona bwana CR7 Hajawahi hata kufika semi final world cup

Yaani kiufupi status yake kwenye kombe ya dunia anazidiwa na Zyech, licha ya kuzungukwa na Bruno, Bernado, Cancelo, Neves nk.

Huyu hakika ni mchezaji wa kawaida sana.

PROFESSIONAL MIDIOCORE PLAYER
Alisikika mlevi mmoja wa Tegeta kwa ndevu kwa nyuma kidoogo
 
Habari za mda huu,

Leo katika pita pita zangu mtandaoni nimeona bwana CR7 Hajawahi hata kufika semi final world cup

Yaani kiufupi status yake kwenye kombe ya dunia anazidiwa na Zyech, licha ya kuzungukwa na Bruno, Bernado, Cancelo, Neves nk.

Huyu hakika ni mchezaji wa kawaida sana.

PROFESSIONAL MIDIOCORE PLAYER
Huu utahira umeanza lini??, Dunia ya mpira haitakuja kushuhudia watu Kama Cr7 na Messi!!.
 
Kaf
Habari za mda huu,

Leo katika pita pita zangu mtandaoni nimeona bwana CR7 Hajawahi hata kufika semi final world cup

Yaani kiufupi status yake kwenye kombe ya dunia anazidiwa na Zyech, licha ya kuzungukwa na Bruno, Bernado, Cancelo, Neves nk.

Huyu hakika ni mchezaji wa kawaida sana.

PROFESSIONAL MIDIOCORE PLAYER
Fuatilia kombe la dunia 2006 haf uniambie timu zipi zilifika nusu fainali sio unaropoka tu
 
Kwa hyo giroud ndio anastahili balon do'r kwasababu ana world cup huu utumwa mwingine sometimes unatoa akili
 
Cristian Ronaldo Hana kipaji.

Ni kweli ni Mchezaji Mpambanaji,Mtu wa kutumia mbio na misuri.
Si mtaalami wa kupasia.

Mesi ni Mchezaji mwenye kipaji Cha Hali ya Juu.
Hata asipofanaya Mazoezi Mwaka mzima Bado at perform vizuri Uwanjani.
Ana skills na Ufundi.

C.Ronaldo ana bidii na jitihada
Kafanye mazoezi na wewe uone kama utafika hata robo ya mafanikio yake.
 
Habari za mda huu,

Leo katika pita pita zangu mtandaoni nimeona bwana CR7 Hajawahi hata kufika semi final world cup

Yaani kiufupi status yake kwenye kombe ya dunia anazidiwa na Zyech, licha ya kuzungukwa na Bruno, Bernado, Cancelo, Neves nk.

Huyu hakika ni mchezaji wa kawaida sana.

PROFESSIONAL MIDIOCORE PLAYER
Mimi siye shabiki wa CR7 ila hapa naona kabsa hujui mpira ndugu
 
Back
Top Bottom