RIZIKI ALLYS MUHUNZI
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 637
- 778
Wacha kujadili kwa mapenzi na kebehi waachie mabinti ndio nn,ushauri gn unaonipa au niliopewa sijakuja kufundishwa jinsi ya kuandika umeelewa sawa ujaelewa mwingine ataelewa sio kujifanya walimu wa mwandikowatu wakikushauri usijitie kiburi na ujivuni. hizo xx waachie mabinti wa sekondari. ukiandika hivyo hata ukiwa na hoja nzuri itadharauliwa.
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!na magoli yake 2 yote ni ya penalt
Muda mwingine unaongea maneno kuntu sana, safi sana aiseee.Angestaafu kama Zidane tu, unastaafu ukiwa juu bado, sasa hivi CR umri na fatigue vitamuanda!
Ngoja na mimi nisubiri jibu lake.We ulirudhishwa na perfomance yake katika kombe ka ulaya??
Makumbe ndo nini mkuu!?Ndoo aka makumbe makubwa ya kibabe
Aha ha ha ha ha ha ha ha!Cha kushangaza Mpinzani (Lionel Messi) wake ana magoli 14 ktk mechi 11 ilihali alikuwa majeruhi na kuwa nje ya uwanja kwa wiki 3 huku Cr7 akiendelea kucheza.
Aliporudi uwanjani Game ya kwanza katupia moja, wakaja Man City kaweka 3, Jmosi kaweka tena mbili.Hivi majeruhi gan hayo yasio insha? Mechi ya Tisa bado unasema majeruhi
Mbona andunje alikuwa majeruhi wikiwiki tatu ila alipo rudi uwanjani bado yupo moto
Aha ha ha ha ha ha ha hapo ndipo hata mimi huyu mhuni huwa ananifurahisha. Ronaldo akiwaokota anawaokota kweli.Kama ni hivyo basi wachezaji wote wametoka majeruhi maana wote walishawahi kuumia. Hapa tunaconsider ni lini mtu ametoka majeruhi. Messi ni juzi tu ila hii haiwez kuwa excuse kwa perfomance yake. Mi naamini katika uvumilivu. I hope cr7 is gonna be on fire again. Kizuri chake akiibahatisha game moja anaweza piga hata goli 5 peke yake
Na kumtukana Messi, tunadharau neema ya mungu aliyotupatia Messi kizazi hiki.ila kusema Cr7 ni mpinzani wa Messi ni kumuonea Messi.
Rudi fb huku umepotea njia ,Acha ushamba nakujisikia toa hoja mambo ya fb yanahusiana nn na hapa
Xx ndio lugha gani mkuu?Xx km umeona hakuna cha hoja imeletwa hapa hii mada iliifanyijwe
Nashukuru kwa kuniita shoga ndugu yangu yaani neno xx ndio limesababisha unione shoga,aina shidaXx ndio lugha gani mkuu?
Mbona mnakuwa mashoga kirahisi hivo?
Watoto wakike na mashoga fb na insta kina james delicious ndio wanaandika hizo lughaNashukuru kwa kuniita shoga ndugu yangu yaani neno xx ndio limesababisha unione shoga,aina shida
Kwaiyo unamaanisha mimi shoga si ndio kwa kua tu nimetumia neno xx ok usiendelee kunitukana tufanye ww ndio kidume alafu mim shoga,lkn sio mtumwa natumia neno lolote ili mladi tu nisimtusi mtu au kuvunja sheria wew una mamlaka ya kunichagulia neno la kutumia zaidi ya kunikashifu na kunitulea lugha ya maudhi..siitaji kujadili kwa kashfa sitokukashifu na nimekusameheWatoto wakike na mashoga fb na insta kina james delicious ndio wanaandika hizo lugha
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]CR7 kwa kweli ameniangusha sana, alivo kosa lile goli nikazima tv
Kumwonea kwa vipi wakati dunia yote inajua kwamba hao wawili wanachuana kwa tunzo mchezaji boraila kusema Cr7 ni mpinzani wa Messi ni kumuonea Messi.
Tuna amino kwamba Messi ndio bora hivyo basis ubora wake ili utimie basi awape world cup Argentina basis hapo ndipo will go in history books as the greatest of his timeNa kumtukana Messi, tunadharau neema ya mungu aliyotupatia Messi kizazi hiki.