Cr7 Safari ndio imeishia hapo?

Cr7 Safari ndio imeishia hapo?

Atapata vipi hiyo balon wakati mcmu huu hajafanya chochote cha maana, hata goli la kuotea hana? Messi is back @ iceman.... katoka majeruhi kadhalilisha mabeki wa watu wenye heshima zao na makipa bora duniani wenye heshima zao alaf unathubutu kusema balon de or inamhusu?
Niamini mimi cr 7 anachukua, asipo chukua nahamia Burundi skai tena bongo.
Ila nahisi atakuwa ndo kamaliza mpira wake baada ya hapo
 
Niamini mimi cr 7 anachukua, asipo chukua nahamia Burundi skai tena bongo.
Ila nahisi atakuwa ndo kamaliza mpira wake baada ya hapo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kaanzage kuomba uraia
1477374722387.jpg
 
Niamini mimi cr 7 anachukua, asipo chukua nahamia Burundi skai tena bongo.
Ila nahisi atakuwa ndo kamaliza mpira wake baada ya hapo


😀😀kitu gani alichofanya cha maana? Hahahaa Kinachowapa matumaini ni European award ambayo hakustahili hata kidogo.
 
Back
Top Bottom