Niamini mimi cr 7 anachukua, asipo chukua nahamia Burundi skai tena bongo.Atapata vipi hiyo balon wakati mcmu huu hajafanya chochote cha maana, hata goli la kuotea hana? Messi is back @ iceman.... katoka majeruhi kadhalilisha mabeki wa watu wenye heshima zao na makipa bora duniani wenye heshima zao alaf unathubutu kusema balon de or inamhusu?
Hakustaili hata kidogo na ulikuwa ni upendeleo wa waziHapo umedangamya kijana
Tuzo ya UEFA alistahil kabsa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kaanzage kuomba uraiaNiamini mimi cr 7 anachukua, asipo chukua nahamia Burundi skai tena bongo.
Ila nahisi atakuwa ndo kamaliza mpira wake baada ya hapo
Niamini mimi cr 7 anachukua, asipo chukua nahamia Burundi skai tena bongo.
Ila nahisi atakuwa ndo kamaliza mpira wake baada ya hapo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]kama sterling siyo? mwanzoni anapigwa halafu anakumbuka mafunzo na kuanza kushusha kipigo kwa kubwa la majambaπ