brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Chuki ndio kitu pekee kinachotumaliza Watanzania wengi.. Hata kama una degree kumi na bado hujafika unakotaka kufika Diamond ni Inspiration kwako. Watanzania tukiambiwa akina 50 Cent walianza kuuza dope ghetto mpaka sasa wako hapo walipo tunachekelea. Ila tukiambiwa Diamond miaka kama saba tu iliyopita aliuza cheni ya mama yake ili apate pesa ya kuingia studio na sasa anatembelea BMW na trips nyingi tu outside the country watu wananuna.. Unamchukiaje Mtanzania mwenzako aliyefanya party iliyoingiza 400+ Millions just overnight?? EGO iight??
"Be the best version of yourself in anything u are doing" lazima tulikubali hili dogo kaliweza kwenye sector yake na sie wengine tukomae huku tuliko sio kukaa kilelemama ukitegemea utayapata maisha. Kumchukia mtu asiyekujua hakutaweza kukupa faida yeyote ile zaidi ya hasara tu..
mkuu umemaliza kama mungu alimtoa tandale na kumnyooshea njia hadi mtv mama wewe mwenzangu na mimi binadamu wa kawaida hata humpigie davido mara 2000, still kijana atakuwa top, when God say yes nobady can say no , hizi nyingine ni blah blah tu