Sijui kama watakuelewa maana tulishaambiwa sisi ni vichwa nya wendawazimu na tumekubali kuwa hivyo kwa mawazo,kwa matendo na kwa kutotimiza wajibu.
na hata sisi tunahamasishana kupiga kura kwa davido hata mara miaPiga kura Mkuu,
Tena its 20 times , hadi wakuambie basi imetosha....
Piga kura, ...
Tanzania mbele...
tuzo za kilimanjaro zimethibitisha hata hapa nchini hakubaliki....sasa sijui anaenda kuiwakilisha nchi gani...usijitoe akili
davido mpango mzima hata dogo akilala makaburini hapati tuzo
sisi tumeanza kitambo na tunazidisha kasiHahahaaaaaa..
Mmenipa wazo Ninyi watu mnaojiita team, team.
Nina watoto 3 , nawafungulia emails wooote ili wampigie kura Diamond ,
Nafanya hivi kwa kuwa mmenitia hasira kwa kukosa utanzania..
Kura za watoto wangu 3 kwa Diamond na Vanessa.
Diamond kura ( watoto 3× category 3× kura 20= kura 180 jumla.
Afu Nina group la whatsapp la wazalendo km Mimi....hawafuatilii music ila watafanya km Mimi kwa Heshima ya Tanzania na nasanaa yake.
Mi kwa hawa mademu sina shida nao, ni tabia zao.
Ila watoto wa kiume, duuh. Most of them ni watu wenye maisha ya kuunga unga tu.. Walishadanganywa ukitoka University basi maisha mteremko..
Wamerudi mtaani, kwanza wakapigwa na blow out ya kutembea na bahasha mwaka mzima, unakuja kupata kazi, ni stress tupu, mshahara hautoshi, magumashi mjini nayo hayaendi.
Wanapokuja kumwona kijana aliyedrop out, sijui alifeli form four amewapiga gap, lazima mapovu yawatoke.. Ukiwauliza ni kwanini wanamchokia dogo, majibu hawana. Honestly huyu jamaa anaweza kutumika kama Inspirational kwa watoto wa Uswazi kwamba wakisimama kwa chochote, ukawa mbunifu na ukajituma U gonna make it.. The only thing I adore this kid ni hiyo, his personal life is his.
halafu tunalalamika eti kwanini ngozi nyeusi hatuendelei!
Hahahahaaa, apigwe tu sasa maana hakuna jinsi nyingine!
Kwahiyo maendeleo yayapatikana kwa kumpigia kura Diamond? Wewe kiazi kweli.
Heheh huu uzi ni shigidaaa aiseee!
1. Best Male - Wizkid
2. Best collabo - Davido (The sound)
3. Best Live - Mr. Flavour
4. Best Song - Wizkid (show you the money)
5. Best female - Vanessa Mdee
6. Best group - Sauti soul
Stole this from somewhere. Napita tyuuu!
united africa ndio mpango mzima na sio umimi
mbona simba yanga zinashangiliaga wageni? nyie mmegeuza kiba mondi kama mchuano wa simba yanga mlitegemea nini???
akishinda tunageuka kumpongeza ndio ubinadamu ulivyo lazma umpongeze mshindi
Amna kitu cha kulinda kama utaifa. To sapport ur own tuige nchi za wenzetu ambazo wanaweka utaifa mbele. Chuki baina yetu haijengi Diamond katutangaza sana Tz tusichoke kumpa sapport" we mpe sapport thn maisha yake kala nn anatoka na nani mwachie mwenyewe