Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Sijui kama watakuelewa maana tulishaambiwa sisi ni vichwa nya wendawazimu na tumekubali kuwa hivyo kwa mawazo,kwa matendo na kwa kutotimiza wajibu.

mashabikibwa diamond ndio wendawazimu...acha kutukana watanzania...naona sasa ndio imekuwa system ya mashabiki wa diamond
 
Hahahaaaaaa..

Mmenipa wazo Ninyi watu mnaojiita team, team.

Nina watoto 3 , nawafungulia emails wooote ili wampigie kura Diamond ,

Nafanya hivi kwa kuwa mmenitia hasira kwa kukosa utanzania..

Kura za watoto wangu 3 kwa Diamond na Vanessa.
Diamond kura ( watoto 3× category 3× kura 20= kura 180 jumla.


Afu Nina group la whatsapp la wazalendo km Mimi....hawafuatilii music ila watafanya km Mimi kwa Heshima ya Tanzania na nasanaa yake.
sisi tumeanza kitambo na tunazidisha kasi
 
Mi kwa hawa mademu sina shida nao, ni tabia zao.

Ila watoto wa kiume, duuh. Most of them ni watu wenye maisha ya kuunga unga tu.. Walishadanganywa ukitoka University basi maisha mteremko..

Wamerudi mtaani, kwanza wakapigwa na blow out ya kutembea na bahasha mwaka mzima, unakuja kupata kazi, ni stress tupu, mshahara hautoshi, magumashi mjini nayo hayaendi.

Wanapokuja kumwona kijana aliyedrop out, sijui alifeli form four amewapiga gap, lazima mapovu yawatoke.. Ukiwauliza ni kwanini wanamchokia dogo, majibu hawana. Honestly huyu jamaa anaweza kutumika kama Inspirational kwa watoto wa Uswazi kwamba wakisimama kwa chochote, ukawa mbunifu na ukajituma U gonna make it.. The only thing I adore this kid ni hiyo, his personal life is his.

Mkuu JUMBE ZAKO ZINAFUNGA MJADALA.

YOU GOT THAT TONE THAT KILLS...

BRAVO..

CC. #teammamkombo
#teamwagumba .
 
Jamani izo kampeni zinapigiwa wapi mie sitaki kukosa
 
Heheh huu uzi ni shigidaaa aiseee!

1. Best Male - Wizkid
2. Best collabo - Davido (The sound)
3. Best Live - Mr. Flavour
4. Best Song - Wizkid (show you the money)
5. Best female - Vanessa Mdee
6. Best group - Sauti soul

Stole this from somewhere. Napita tyuuu!

Mama umependeza hapo kwenye avatar!😱:sly:
 
united africa ndio mpango mzima na sio umimi
mbona simba yanga zinashangiliaga wageni? nyie mmegeuza kiba mondi kama mchuano wa simba yanga mlitegemea nini???

akishinda tunageuka kumpongeza ndio ubinadamu ulivyo lazma umpongeze mshindi

Mimi sijachangia kwa vile umeongea Fikra zangu.
 
Amna kitu cha kulinda kama utaifa. To sapport ur own tuige nchi za wenzetu ambazo wanaweka utaifa mbele. Chuki baina yetu haijengi Diamond katutangaza sana Tz tusichoke kumpa sapport" we mpe sapport thn maisha yake kala nn anatoka na nani mwachie mwenyewe

Mtani...leo unaongea busara ila kuna mmoja wenu alisema Daimond haitaji kura zetu....
Yani nimefurahi kaliona hilo.
 
Sawa natakiwa niwe mzalendo kwa mtanzania mwenzangu lakini ninapaswa zaidi niwe mzalendo kwa Africa yangu zaidi.

Kabla sijapiga kura kwa Dai, je nimpigie kura kwa wimbo gani kwa mfano alioutoa mwaka jana 2014?
Je, kwa wimbo wa mchiriku wa Mdogo mdogo?

Au kwa wimbo wa Taarab alioimba na khadija kopa?

Au kwa wimbo wa bumbum feat Iyanya ule ambao maneno hayasikiki ila linasikika neno moja tu "Michael Jackson tact"?

Mimi kama mtu mwenye uelewa nadhani hii ndo list ya ushindi.
1. Best Male - Wizkid
2. Best collabo - Davido (The sound)
3. Best Live - Mr. Flavour
4. Best Song - Wizkid (show you the money)
5. Best female - Vanessa Mdee
6. Best group - Sauti soul
 
Davido aliyeitukana nchi nzima ya Tz au mwingine???
 
Back
Top Bottom