emmandninetytwo
Member
- Jun 9, 2015
- 8
- 3
Na bado.Sio huyu diamond tu, tatizo lipo kwa mashabiki wake pia.Juzi hapo baada ya taarifa kutoka kuwa kapata nominations huko tulitukanwa na kukashifiwa sana humu JF, sasa nimpigie kura ili ashinde halafu nitukanwe zaidi?
No way, nitampia ninayemtaka maana device na bundle vyote ni vyangu na hakuna wa kunipangia.
Kwendraaaa zako, ule uzi unadhani nimesahau eeh?
Hata hivyo kura yangu hana, hutaki unaacha tu maana hunipi bundle.
Kama wema kweli anaendesha kampeni hiyo ni wakumsamehe tu.
Hajui alitendalo.
Vote for Davido, Diamond haitaji kura yako wewe na washamba wenzio. Wasisitize na washamba wenzio wampigie kura Davido kwa wengi Diamond haitaji kura zenu.
Mimi navote kwa Wizkid acha kukariri wewe, halafu ndio nimeshasema sasa.
Kama umeumia sana kajinyongeeee.
Halafu ukome kutuita sisi washamba, nyie wajanja mkafanya nini? Hata bundle la kupiga kura hamna kazi kutokwa povu tu.
Duh unanipa ma kwenda zako, uzi gani matusi????? Mie sijayaona. Na ndio maana nasema hawatumiagi matusi
I second you brother.Namshauri kama kweli ana nguvu kubwa kiasi hicho aiwekeze kwa MIRROR(Msanii wake-ni MTZ mwenzetu na ataongeza ajira kama alivyofanya Diamond).
Hakuna anaeitaji kura zenu, chukueni hiyo na mpigieni huyo wizkid kwa nguvu zote.
mnajipa presha za bure kwenye mtv mama awards kura zinachangia asilimia 30% then 70% zilizobaki zinatokana na academy ya majaji ilioteuliwa, mwaka jana maffiki zolo walipata kura chache lakini wakachukua tuzo ya kundi bora, wanajua kama nigeria ina wakazi zaidi ya milioni 150 wakiweka kura pekee ziamue basi wanigeria wangekuwa wanabeba tuzo zote
mnajipa presha za bure kwenye mtv mama awards kura zinachangia asilimia 30% then 70% zilizobaki zinatokana na academy ya majaji ilioteuliwa, mwaka jana maffiki zolo walipata kura chache lakini wakachukua tuzo ya kundi bora, wanajua kama nigeria ina wakazi zaidi ya milioni 150 wakiweka kura pekee ziamue basi wanigeria wangekuwa wanabeba tuzo zote
Ivi ni kweli Wema ana nguvu hizi za kuwaambia wa-Tz wasimpigie kura Diamond na kweli ikamfanya Diamond ashindwe nitakua mtu wa mwisho kuamini.
Acha afanye alisikialo ni uamuzi wake kufanya akisikiacho as long as avunji Katiba ya Jamhuri ya Muungano.