emmandninetytwo
Member
- Jun 9, 2015
- 8
- 3
Na bado.Sio huyu diamond tu, tatizo lipo kwa mashabiki wake pia.Juzi hapo baada ya taarifa kutoka kuwa kapata nominations huko tulitukanwa na kukashifiwa sana humu JF, sasa nimpigie kura ili ashinde halafu nitukanwe zaidi?
No way, nitampia ninayemtaka maana device na bundle vyote ni vyangu na hakuna wa kunipangia.
Kweliii uyasemayo......