Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

hovyo kabisa..unaandika nini hiki?
 

AKIJUA katiba pendekezwa ina utata mwanzo mwisho aliimba wimbo, call it KIBWAGIZA cha watanzania tupige kura ya ndiyo.HAPO MOND NI MZALENDO AU NI WALEWALE ....
 
wema ana nguvu ya soda tu hawezi kufanya watz zaidi ya mil 44 wamchukia diamond

kama wema ana au hana nguvu subirini mtaisoma, ktma muliponea kwa huruma ya majaji tungekomba tuzo zote
 

YEYE MOND ANAIPENDA nchi yake????angeimba kibwagizo cha kuwataka watanzania kupiga kura ya ndio ya KATIBA MPYA INAYOLILIWA KUWA MBOVU????au hajakisikia hiki kibwagizo uhuru fm????

Anavuna alichopanda, uzalendo una namna nyingi ya kuuelezea
 
Jamani jamani jamaniiiiiiii! Nimekuta pm's watu wananing'unikia kua mimi mkali, nina maneno makali na mambo kibao kama hayo.
Mnataka mimi nifanye nini? Kama nachokozwa nisijibu mapigo? Wengine wanajivika vyeo vya kiwendawazimu wanataka kunipangia muda wa kukaa humu nikae kimya tu?
Wengine wanataka kuingilia uhuru wangu wa kumpigia kura ninayemtaka mimi nikae kimya pia?
Sasa nasema hivi, NITAFANYA NINAVYOTAKA MIMI.ATAKAYENICHOKOZA ATAPATA STAHIKI YAKE VILEVILE.
 

hata hivyo wewe mkali...tuyaache hayo
MOND ni mzalendo wa aina gani mbona aliimba kibwagizo cha kuunga mkono katiba ya SITTA ambayo kila mweye akili timamu anaipinga????
uzalendo kwenye kupiga kura ila kwenye maswala yatakayoumiza taifa kwa miaka 50 tutangulize ujinga kama MOND alivyoimba kibwagizo...kipo uhuru fm
NI LAZMA tumshikishe adabu, piga kura bibie piga sana hamna kutishana yaan ukiamkaa tu hakikisha kabla hujafika mjini 20 zimetimia

WATU HAWAONI upuuzi wa alichokiimba kwenye kile kibwagizo cha tupige kura ya NDIYO KATIBA MPYA.....
 

pelekeni upuuzi wenu instagram
 
Aiseee!! kumbe hii kitu inawezekana kabisa ,Mrisho Ngasa kuwa bora kuliko Messi na Ronaldo kwa kupitia kura za watu mambumbumbu..teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…