Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido


Na mpigwe tu mana hmna nmna nyngine sasa
 
naomba uwe shahidi yangu Mrembo by Nature kaniahid kua Daimond akibeba tuzo hata moja atanipa laki mbili,teh teh,siku nikianza kumdai nitakuita,tukishindwa basi

Mrembo hana tatizo, naamini kabisa akishinda diamond nawe utakuwa umejishindia laki mbili. Japo kwa hii trend nahisi huyo mnaija atashinda tu!!
 
Last edited by a moderator:
Mrembo hana tatizo, naamini kabisa akishinda diamond nawe utakuwa umejishindia laki mbili. Japo kwa hii trend nahisi huyo mnaija atashinda tu!!


amechenga Tu eti kwa Davido Tu ,kumbe anajua kua category zingine anaweza shinda diamond eee
 
danya upo sahihi kabisa, mtu ukimwambia Ukweli anaona tuna mtusi....
.kwanini hampendi maendeleo ya mtu ....
Sijui elimu au Sijui ujinga ....
 
Last edited by a moderator:
Jukwaa lako lipi ? Una jukwaa humu. Majukwaa yote ya maxence mello and Co. Jitu halilipi hata kodi halafu linajimilikisha jukwaa kwahiyo ulikuja huku kutingisha kiberiti au? Ulipoona njiti zimejaa unajifanya kuaga na matusi mburukenge wewe.

Kitovu wewe
 
Jiwe limempata muhusika...Meseji kwa wengine kuropoka uropoke wewe!
Kama na wewe ni mwanamke na unamagonjwa sugu njoo uqoute na hapa..mxiuu
 
kwenye ile best male eee sawa,sio kwenye category zote alipo Daimond hhhheeeee

sasa category ambayo ni specific ni moja tu zingine wapo akina iyanya sasa hapa hujui fans wa iyanya ambao pia ni wanaija watampigia?kura za iyanya kwenye bum bum si zitakuwa zimembeba vile vile. kipengele kitamu ni hiki alichosimama peke yake.
 

heee nani kwakambia mbuzi wajinga
uliona wapi mbuzi wanaingiliana kinyume na maumbile kama wanadamu wa leo?????mbuzi mjanja tena sana hawalani tigo
 

Hahahaaaa tutaenda wote mamy mimi nitakunya ubungo vifungu vifungu mchana kweupeee
 

unaambia uzalendo huna
kila siku domo vijimaneno vya kuchoma anategemea wajanja tumpigie???vote for davidooooooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…