Mimi navote for Davido,flavour ,Vanessa Mdee na sauti sol.Africa is one.
hah hah jaman nyie watu mtaniua kwa kichekoHahahaaaa tutaenda wote mamy mimi nitakunya ubungo vifungu vifungu mchana kweupeee
hahaha we subiri tu ..hamasisha watu wavote plss mpaka mwaka huu ajirudi ndio tutamhurumia
Mbona hukulalamika south africa walipompigia kura Idris BBA na kumuachs mshiriki wao. Au hukuona even baadhi ya stars walikuwa wanashawishi watu wapigie kura Tanzania BBA ilihali kuna washiriki wao kule. Sio dhana potofu kumpigia kura davido wakati diamond pia anashiriki.
Mshauri bosi wako ajiangalie upya na atafute sababu za kuchukiwa hivi na baadhi ya watanzania. I SAY VOTE FOR DAVIDO AND VEE MONEY.
hah hah jaman nyie watu mtaniua kwa kicheko
Our patriotism goes with VEE MONEY she's the only one who can make us proud. VOTE FOR DAVIDO VOTE FOR VEE MONEY
Mie tenaa nawahamasisha kupita maelezo. Na nilivyo team kiba team wema mbona mambo ni matamu.. huko IG nina kikosi ambacho mpaka now washavote kama mara mia mia.
Mwaka huu lazima domo atubu madhambi yake
mpaka kuku atavote. IG kumechafuka yani kitu ni davidoo . domo mwisho white house
Alafu mamy kuvote kwa siku ni mara ngapi? Leo nishavote kama mara miambili bado inaniruhusu tuu
heee nani kwakambia mbuzi wajinga
uliona wapi mbuzi wanaingiliana kinyume na maumbile kama wanadamu wa leo?????mbuzi mjanja tena sana hawalani tigo
Kitovu wewe
umetumia accout zaidi ya moja?? mbona mwisho kuvote ni mara 20 kwa kila category. so category zote 13 mara 20 ni kura 260
pesa sikupi na usiniqoute mamaaae halaf nyie ni wakimbizi muhame Tanzania mtuachie wenye nchi yetu pumbavu
Ona sasa unanianika hadharani nusu unitaje kabisa yaniii.
Na Tanzania siondoki mpaka niwavurugr vuruge kama team mondi mlivovurugwa mioyo!
Leo usiku hulali...
Mxiiu zako si mnatuita sie wachawi tuna 'outlook mbovu' , nakuwangia mpaka uote mpini.
Team kiba kuweni wazalendo hahahaaaaaaaa