Hivi watanzania mna masaibu gani. Kuna watu wanadai diamond ana dharau, sasa hyo dharau mnaiona mashabiki wa Wema tu. Nimepita pita kitaa kuuliza watu na wanasema hawana tatizo na Diamond.
Ila nimekuja kujua kumbe chanzo cha chuki ni mimba ya zari na kuachana na wema. Washabiki wa wema hawajakubali hali ya wema kutokuwa na raisi wa wasafi, pia Wema nae bado ana kisasi, na ndo mana anaendesha kampeni ya kumpigia kura Davido na sio mtanzania mwenzake Diamond.
Ila tu nisisitize; Jokate, Wema na Mange, nyie na washabiki wenu mpigien Davido wenu, ila msitake kufanya watanzania wengine wamchukie Diamond bila sababu. Sisi watanzania wengine tutampigia kura.
Na naona Vanesa nae ashaanza kuingia team Wema, mana anajipigia promo yeye mwenyewe na kumuacha Diamond, badilika dada.
Vote for Diamond ana Vanesa, MTV Awards.
Tena si balaa ndogo, ni hali ya kusikitisha sana
Si tu ya kusikitisha bali ni ya aibu sana.
Sikutegemea hata kidogo kuwa chuki dhidi ya kijana wa Kitanzania inaweza kufikia kiwango hiki tena kutoka kwa Watanzania wenzake!
Si tu ya kusikitisha bali ni ya aibu sana.
Sikutegemea hata kidogo kuwa chuki dhidi ya kijana wa Kitanzania inaweza kufikia kiwango hiki tena kutoka kwa Watanzania wenzake!
YEYE MOND ANAIPENDA nchi yake????angeimba kibwagizo cha kuwataka watanzania kupiga kura ya ndio ya KATIBA MPYA INAYOLILIWA KUWA MBOVU????au hajakisikia hiki kibwagizo uhuru fm????
Anavuna alichopanda, uzalendo una namna nyingi ya kuuelezea
Piga mara nyingi kadri uwezavyo #TeamTanzania bifu zisizo na kichwa wala miguu tupa kuleeee na kama una ndugu, jamaa na marafiki warushie hiyo link na wao wafanye yao ili kumnyanyua Mtanzania mwenzetu.
jina lako linafanana na hoja zako
Hivi vote ni ngapi mbona mi na vote tu hata hainiambii basi hee
Alikibaaa yooooooooooo.
Heyyyy
Vote fo Davido.
Nyerere alisema waafrika tupendane
Hivi vote ni ngapi mbona mi na vote tu hata hainiambii basi hee
Endeleza kampeni yako yakichawi
Tuliza kengele huko usinizoeee nitakunyea utosini mavi yashuke na wew. Mfyuuuuuuuu