Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Lakini kumbuka watz tuko milioni ngapi na Nigeria wako almost 4 times our population. Unadhani wanigeria wamelala?? Jumlisha kura za shabiki Wa kiba, wema, jokate, peni....na za wengine out of this cycle? Domo ni nani hata afurukute.....usipoteze kura yako....kafuge kuku wakati wa likizo ujiongezee kipato au chill umalize likizo yako salama
Sina shida ya kufuga kuku napiga biznes za fasta hata nikiwa home hizo biznes fanya wewe
By the way nigeria davido ana haters kama wewe hater wa dai hapa Tz .Nawapo wengi .
Mbaya zaidi wana wasanii wengi kwenye hizo categories
So ni faida kwa dai coz hao watagawana kura
Nikupe mfano CCM na Upinzani kuelekea uchaguzi unadhani nini kitatokea kwenye kura(just mfano ukawa mnisamehe)
@#Haters gonna hate.