shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,367
20 votes per category
I kila siku unaweza vote au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
20 votes per category
Wanajamvi inasikitisha kwamba kuna kampeni chafu zimeanzishwa na wale wanaodhaniwa kuwa ni wabaya au wapinzani wa Diamond Platnumz ambaye anawania tuzo za MTV-AMA zitakazotolewa Afrika Kusini hivi karibuni. Inasikitisha kwa sababu kwa namna yoyote ile, msanii huyu 'anaiwakilisha nchi' huko kwa sababu anatajwa kuwa ni msanii kutoka TANZANIA. Na bila shaka anaipeperusha bendera ya Taifa huko. Wabaya wake sasa wameanzisha kampeni ya kuwapigia kura wapinzani wake Diamond, hasa Davido. Nadhani chuki ya namna hii haisaidii coz tofauti zao zingeishia katika masuala ya ndani lakini mmoja wao akitoka nje wangezika tofauti zao. Sio lazima wao kumpigia kura lakini angalau wasingethubutu kampeni chafu dhidi ya Mtanzania mwenzao. Haya ni maoni yangu sijui wanajamvi?
Source: IG; Zarimondthebest-usiku huu.
wabongo ni wangese kinyama! yan et wameumia dangote kumwacha team makombo..!
I kila siku unaweza vote au?
hahahaaa eti uzee, wakiitwa wazee na we utasogea??
Ngoja tu utakufikia si unautaka!
heheh sasa vikura viwili vitasaidia nini si bora kuacha tu jameni?? lol
Mpigie tu wewe mi niko nasafisha ulimi kwa ajili ya kulamba ndimu tena nakata na kucha kabisa mahsusi kwa kuvunja maapple u know
Huyo anaejiita shangazi inaonekana hawezi kufikiri hasa hiyo point yake namba 4 kwamba usipompigia kura mtu haimpunguzii chochote kile katika mafanikio ya mtu, sasa unapompigia mtu mwingine manake si umempunguzia chances za kushinda, sijui ameishia darasa la ngapi huyo, kipindi davido ana beef na wiz kid sidhani kama wanaijeria walifikia the level of this hatred to either of the two, lakini mwisho wa siku mond bin laden atafanya yake kwa uweza wa muumba, najiuliza huyu jamaa kawakosea nini wanaojiita team wema, jokate na kiba huyu jamaa akishinda naona watu watatamani wazikwe hai, ukweli ni kwamba ali kiba anajua kuimba vizuri sana lakini hawezi kufika level za kimataifa sababu hakua na uwezo wa kufanya hivyo alivyopata nafasi....bluetech.....
Huyo anaejiita shangazi inaonekana hawezi kufikiri hasa hiyo point yake namba 4 kwamba usipompigia kura mtu haimpunguzii chochote kile katika mafanikio ya mtu, sasa unapompigia mtu mwingine manake si umempunguzia chances za kushinda, sijui ameishia darasa la ngapi huyo, kipindi davido ana beef na wiz kid sidhani kama wanaijeria walifikia the level of this hatred to either of the two, lakini mwisho wa siku mond bin laden atafanya yake kwa uweza wa muumba, najiuliza huyu jamaa kawakosea nini wanaojiita team wema, jokate na kiba huyu jamaa akishinda naona watu watatamani wazikwe hai, ukweli ni kwamba ali kiba anajua kuimba vizuri sana lakini hawezi kufika level za kimataifa sababu hakua na uwezo wa kufanya hivyo alivyopata nafasi....bluetech.....
Huyo anaejiita shangazi inaonekana hawezi kufikiri hasa hiyo point yake namba 4 kwamba usipompigia kura mtu haimpunguzii chochote kile katika mafanikio ya mtu, sasa unapompigia mtu mwingine manake si umempunguzia chances za kushinda, sijui ameishia darasa la ngapi huyo, kipindi davido ana beef na wiz kid sidhani kama wanaijeria walifikia the level of this hatred to either of the two, lakini mwisho wa siku mond bin laden atafanya yake kwa uweza wa muumba, najiuliza huyu jamaa kawakosea nini wanaojiita team wema, jokate na kiba huyu jamaa akishinda naona watu watatamani wazikwe hai, ukweli ni kwamba ali kiba anajua kuimba vizuri sana lakini hawezi kufika level za kimataifa sababu hakua na uwezo wa kufanya hivyo alivyopata nafasi....bluetech.....
Hahahahaaa, tena ngoja nikavote kabla siku haijaisha.
jibu hojaPumba Tupu..!!