Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Attachments

  • PhotoGrid_1434445526380.jpg
    PhotoGrid_1434445526380.jpg
    69.6 KB · Views: 188
Last edited by a moderator:
Kwa hizi kampeni chafu kwa diamond inafanya hata mashabiki wa ali kiba wamuhame sasa.
 
Mimi ni mzalendo na naipenda nchi yangu,kura yangu imeenda kwa dada yangu Vanessa Mdee a.k.a Vee Money.I like her,she is a true talent and she deserves this award.
 
Wanajamvi inasikitisha kwamba kuna kampeni chafu zimeanzishwa na wale wanaodhaniwa kuwa ni wabaya au wapinzani wa Diamond Platnumz ambaye anawania tuzo za MTV-AMA zitakazotolewa Afrika Kusini hivi karibuni. Inasikitisha kwa sababu kwa namna yoyote ile, msanii huyu 'anaiwakilisha nchi' huko kwa sababu anatajwa kuwa ni msanii kutoka TANZANIA. Na bila shaka anaipeperusha bendera ya Taifa huko. Wabaya wake sasa wameanzisha kampeni ya kuwapigia kura wapinzani wake Diamond, hasa Davido. Nadhani chuki ya namna hii haisaidii coz tofauti zao zingeishia katika masuala ya ndani lakini mmoja wao akitoka nje wangezika tofauti zao. Sio lazima wao kumpigia kura lakini angalau wasingethubutu kampeni chafu dhidi ya Mtanzania mwenzao. Haya ni maoni yangu sijui wanajamvi?

Source: IG; Zarimondthebest-usiku huu.

wabongo ni wangese kinyama! yan et wameumia dangote kumwacha team makombo..!
 
hahahaaa eti uzee, wakiitwa wazee na we utasogea??
Ngoja tu utakufikia si unautaka!

heheh sasa vikura viwili vitasaidia nini si bora kuacha tu jameni?? lol
Mpigie tu wewe mi niko nasafisha ulimi kwa ajili ya kulamba ndimu tena nakata na kucha kabisa mahsusi kwa kuvunja maapple u know

Hahahahaaaaa....yaani umenichekeshaaaa, usilambe ndimu tu, tafuna na maembee.....

Kweli hutakiu uani na team........................umeamua kuwa kauzu nimekushindwa.

Mi kilaziku napiga mwaego. Mzalendo kindakindaki
 
Huyo anaejiita shangazi inaonekana hawezi kufikiri hasa hiyo point yake namba 4 kwamba usipompigia kura mtu haimpunguzii chochote kile katika mafanikio ya mtu, sasa unapompigia mtu mwingine manake si umempunguzia chances za kushinda, sijui ameishia darasa la ngapi huyo, kipindi davido ana beef na wiz kid sidhani kama wanaijeria walifikia the level of this hatred to either of the two, lakini mwisho wa siku mond bin laden atafanya yake kwa uweza wa muumba, najiuliza huyu jamaa kawakosea nini wanaojiita team wema, jokate na kiba huyu jamaa akishinda naona watu watatamani wazikwe hai, ukweli ni kwamba ali kiba anajua kuimba vizuri sana lakini hawezi kufika level za kimataifa sababu hakua na uwezo wa kufanya hivyo alivyopata nafasi....bluetech.....
 
Huyo anaejiita shangazi inaonekana hawezi kufikiri hasa hiyo point yake namba 4 kwamba usipompigia kura mtu haimpunguzii chochote kile katika mafanikio ya mtu, sasa unapompigia mtu mwingine manake si umempunguzia chances za kushinda, sijui ameishia darasa la ngapi huyo, kipindi davido ana beef na wiz kid sidhani kama wanaijeria walifikia the level of this hatred to either of the two, lakini mwisho wa siku mond bin laden atafanya yake kwa uweza wa muumba, najiuliza huyu jamaa kawakosea nini wanaojiita team wema, jokate na kiba huyu jamaa akishinda naona watu watatamani wazikwe hai, ukweli ni kwamba ali kiba anajua kuimba vizuri sana lakini hawezi kufika level za kimataifa sababu hakua na uwezo wa kufanya hivyo alivyopata nafasi....bluetech.....

Tatizo wagumu kung'amua wamekalia fitna na majungu ukoko tu hahahaahahah

Weraaaaaa brother

Its time for mondi bin laden.
 
Huyo anaejiita shangazi inaonekana hawezi kufikiri hasa hiyo point yake namba 4 kwamba usipompigia kura mtu haimpunguzii chochote kile katika mafanikio ya mtu, sasa unapompigia mtu mwingine manake si umempunguzia chances za kushinda, sijui ameishia darasa la ngapi huyo, kipindi davido ana beef na wiz kid sidhani kama wanaijeria walifikia the level of this hatred to either of the two, lakini mwisho wa siku mond bin laden atafanya yake kwa uweza wa muumba, najiuliza huyu jamaa kawakosea nini wanaojiita team wema, jokate na kiba huyu jamaa akishinda naona watu watatamani wazikwe hai, ukweli ni kwamba ali kiba anajua kuimba vizuri sana lakini hawezi kufika level za kimataifa sababu hakua na uwezo wa kufanya hivyo alivyopata nafasi....bluetech.....


Hua unanifurahishaaa balaa Una mapoint jf nzima sijaona
 
Huyo anaejiita shangazi inaonekana hawezi kufikiri hasa hiyo point yake namba 4 kwamba usipompigia kura mtu haimpunguzii chochote kile katika mafanikio ya mtu, sasa unapompigia mtu mwingine manake si umempunguzia chances za kushinda, sijui ameishia darasa la ngapi huyo, kipindi davido ana beef na wiz kid sidhani kama wanaijeria walifikia the level of this hatred to either of the two, lakini mwisho wa siku mond bin laden atafanya yake kwa uweza wa muumba, najiuliza huyu jamaa kawakosea nini wanaojiita team wema, jokate na kiba huyu jamaa akishinda naona watu watatamani wazikwe hai, ukweli ni kwamba ali kiba anajua kuimba vizuri sana lakini hawezi kufika level za kimataifa sababu hakua na uwezo wa kufanya hivyo alivyopata nafasi....bluetech.....

Kiba anaimbia chumbani wakati mwenzie anafanya biashara wapi na wapi.
 
BEST MALE

- Diamond Platnumz (Tanzania),
- Wizkid (Nigeria), Davido (Nigeria),
- AKA (South Africa) na Sarkodie (Ghana):

Sina kabisa sababu ya kumpigia kura huyo kijana.Kila nikivungua redio nawasikia yeye pamoja na wenzie wakiimba kama kina Davido na West African, wamekosa ubunifu. Sasa kwa nini nimpigie kura mwigiliziaji badala ya anayeigiliziwa.

Kingine nyie vijana mliokosa ubunifu mtuambie mkimaliza kuwaiga kina Davido mtaiga wapi? Ili tujiandae na kujua kama mnaiga vizuri..
 
Vote vote votee.
Sambaza upendo.
Mtafurahi na shoo mwaka huu habari ya mujini ni kuvote for davido hutaki pasuka.
Best male.... davido.
Best collab.....david and uhur.
Best live....mr flavour
Sisi tuna deal na category tatu tuu.
Chezeiyaaaa
 
Back
Top Bottom