BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
AKIJUA katiba pendekezwa ina utata mwanzo mwisho aliimba wimbo, call it KIBWAGIZA cha watanzania tupige kura ya ndiyo.HAPO MOND NI MZALENDO AU NI WALEWALE ....
Mambo ya siasa hapa ya nn tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AKIJUA katiba pendekezwa ina utata mwanzo mwisho aliimba wimbo, call it KIBWAGIZA cha watanzania tupige kura ya ndiyo.HAPO MOND NI MZALENDO AU NI WALEWALE ....
hahah hah hah ich glauben nichtUnbelievable!!
Vipi mama? Maana naona wakata viuno wamekuquote na kuongea shombo.
Jamani jamani jamaniiiiiiii! Nimekuta pm's watu wananing'unikia kua mimi mkali, nina maneno makali na mambo kibao kama hayo.
Mnataka mimi nifanye nini? Kama nachokozwa nisijibu mapigo? Wengine wanajivika vyeo vya kiwendawazimu wanataka kunipangia muda wa kukaa humu nikae kimya tu?
Wengine wanataka kuingilia uhuru wangu wa kumpigia kura ninayemtaka mimi nikae kimya pia?
Sasa nasema hivi, NITAFANYA NINAVYOTAKA MIMI.ATAKAYENICHOKOZA ATAPATA STAHIKI YAKE VILEVILE.
Mambo ya siasa hapa ya nn tena.
Tiambieni jinsi ya kupiga kira ili tuwakate mdomo maninti hawa
uzalendo inatakiwa iwe kwa kila jambo
huwezi kuunga mkono katiba mbovu then ujiite mzalendo.KAIMBA KIBWAGIZO cha tupige kura ya ndio katiba mpya ambayo italififisha taifa kwa miaka 50 ijayo na hapa munamuita mzalendo?????...uzalendo au uchumia tumbo????
MASLAHI ya taifa kwanza na sio individuals...kwa kuwa yeye alianza kujali maslahi yake kwa shibe ya tumbo yake akatushawishi TUPIGE KURA YA NDIO basi hata sasa tuacheni tumpigie davido kwa raha zetu
Habari ndiyo hiyo, leo nipo kwenye msiba sitaki shobo na mtu.
Ni mwendo wa kuvote na kutupia screen shots basi.
Mwisho wa cku we ndo utajua kuhusu hyo katiba upige ndio au hapana inawezekana hana uelewa sana kuhusu hyo ye kapiga mpunga wake tu. Usimhukumu kijana mtaftaji tu yule
Ila kweli leo mmekuwa wapole ntawafikiria
akishinda ashukuru asije tena kudharau kama zile za ktma ambazo nilimpigia na mpaka sasa hajashukuru
Mhhhh!!! wakati mwingine nifah nahisi wewe ndo Wema sepetu mwenyewe orijinali.
Hahaha kwanini usiwajibu hao wakata viuno
Pole kwa msiba
Wakati unaomboleza uwe unavote pia . Umuombe na Dinazarde pia a vote kwa davido asipoteze Kura kwani dai hapa hachomoki
Pole kwa msiba
Wakati unaomboleza uwe unavote pia . Umuombe na Dinazarde pia a vote kwa davido asipoteze Kura kwani dai hapa hachomoki
Asante mpenzi.
Huyo jirani yangu namuonea huruma kwa wakati huu, ushoga wetu unaishia umbeani tu ila huku chenga tupu.
Hvi watanzania mna masaibu gani. Kuna watu wanadai diamond ana dharau, sasa hyo dharau mnaiona mashabiki wa wema tu. Nimepita pita kitaa kuuliza watu na wanasema hawana tatizo na diamond.
Ila nimekuja kujua kumbe chanzo cha chuki ni mimba ya zari na kuachana na wema. Washabiki wa wema hawajakubali hali ya wema kutokuwa na raisi wa wasafi, pia wema nae bado ana kisasi, na ndo mana anaendesha kampeni ya kumpigia kura Davido na sio mtanzania mwenzake diamond.
Ila tu nisisitize, jokate, wema, na mange, nyie na washabiki wenu mpigien davido wenu, ila msitake kufanya watanzania wengine wamchukie diamond bila sababu. Sisi watanzania wengine tutampigia kura.
Na naona vanesa nae ashaanza kuingia team wema, mana anajipigia promo yeye mwenyewe na kumuacha diamond, badilika dada.
Vote for diamond ana Vanesa, MTv awards.