Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Jamani jamani jamaniiiiiiii! Nimekuta pm's watu wananing'unikia kua mimi mkali, nina maneno makali na mambo kibao kama hayo.
Mnataka mimi nifanye nini? Kama nachokozwa nisijibu mapigo? Wengine wanajivika vyeo vya kiwendawazimu wanataka kunipangia muda wa kukaa humu nikae kimya tu?
Wengine wanataka kuingilia uhuru wangu wa kumpigia kura ninayemtaka mimi nikae kimya pia?
Sasa nasema hivi, NITAFANYA NINAVYOTAKA MIMI.ATAKAYENICHOKOZA ATAPATA STAHIKI YAKE VILEVILE.

Mhhhh!!! wakati mwingine nifah nahisi wewe ndo Wema sepetu mwenyewe orijinali.
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya siasa hapa ya nn tena.

uzalendo inatakiwa iwe kwa kila jambo
huwezi kuunga mkono katiba mbovu then ujiite mzalendo.KAIMBA KIBWAGIZO cha tupige kura ya ndio katiba mpya ambayo italififisha taifa kwa miaka 50 ijayo na hapa munamuita mzalendo?????...uzalendo au uchumia tumbo????

MASLAHI ya taifa kwanza na sio individuals...kwa kuwa yeye alianza kujali maslahi yake kwa shibe ya tumbo yake akatushawishi TUPIGE KURA YA NDIO basi hata sasa tuacheni tumpigie davido kwa raha zetu
 
Dah..ngoja kwanza niangalie mwezi kama umeandama.........
 
uzalendo inatakiwa iwe kwa kila jambo
huwezi kuunga mkono katiba mbovu then ujiite mzalendo.KAIMBA KIBWAGIZO cha tupige kura ya ndio katiba mpya ambayo italififisha taifa kwa miaka 50 ijayo na hapa munamuita mzalendo?????...uzalendo au uchumia tumbo????

MASLAHI ya taifa kwanza na sio individuals...kwa kuwa yeye alianza kujali maslahi yake kwa shibe ya tumbo yake akatushawishi TUPIGE KURA YA NDIO basi hata sasa tuacheni tumpigie davido kwa raha zetu

Mwisho wa cku we ndo utajua kuhusu hyo katiba upige ndio au hapana inawezekana hana uelewa sana kuhusu hyo ye kapiga mpunga wake tu. Usimhukumu kijana mtaftaji tu yule
 
Mwisho wa cku we ndo utajua kuhusu hyo katiba upige ndio au hapana inawezekana hana uelewa sana kuhusu hyo ye kapiga mpunga wake tu. Usimhukumu kijana mtaftaji tu yule

Ila kweli leo mmekuwa wapole ntawafikiria
akishinda ashukuru asije tena kudharau kama zile za ktma ambazo nilimpigia na mpaka sasa hajashukuru
 
Ila kweli leo mmekuwa wapole ntawafikiria
akishinda ashukuru asije tena kudharau kama zile za ktma ambazo nilimpigia na mpaka sasa hajashukuru

Hahaha mbona m nimepiga sana ktma lkn hajashukuru binti. Kua na kifua hahah dont expect mch frm ppl..
 
Mhhhh!!! wakati mwingine nifah nahisi wewe ndo Wema sepetu mwenyewe orijinali.

Kweli wewe hunijui kabisa, nahisi umeanza kunijua wakati huu.
Mimi huyo wema ninayemponda kila wakati leo hii niwe yeye tena?
Usipende kujijengea picha kutokana na comments mkuu, ona sasa umeingia chaka!
 
Last edited by a moderator:
Pole kwa msiba

Wakati unaomboleza uwe unavote pia . Umuombe na Dinazarde pia a vote kwa davido asipoteze Kura kwani dai hapa hachomoki


hhhhbhaaaaa siwapendi woteee sasa HIV team kiba yeyote yule siwapendiiii mpaka hapo baadaeee yaan kama Li nifah linaniudhii,,nyie ngojeni Tu tulisheni ndimu mpaka basiii zamu yenu inakuja geniveros nae sikupendi tuuu
 
Last edited by a moderator:
Asante mpenzi.
Huyo jirani yangu namuonea huruma kwa wakati huu, ushoga wetu unaishia umbeani tu ila huku chenga tupu.


yaan Jana nilichekaa aiseee ile ligi ya usiku ila nifah nawe utupunguzie dozi banaa ,kura mshakataa kutupigia basi mtupumzisheee na sie tuna roho jamanii,halaf nahis we ni rafiki yangu mmoja HIV nae ananitania haswaa maana ni team kiba kidogo nimuambie we ni nifah wa jf nini maana kanikomalia kisengee,mnaniudhiii
 
Hvi watanzania mna masaibu gani. Kuna watu wanadai diamond ana dharau, sasa hyo dharau mnaiona mashabiki wa wema tu. Nimepita pita kitaa kuuliza watu na wanasema hawana tatizo na diamond.

Ila nimekuja kujua kumbe chanzo cha chuki ni mimba ya zari na kuachana na wema. Washabiki wa wema hawajakubali hali ya wema kutokuwa na raisi wa wasafi, pia wema nae bado ana kisasi, na ndo mana anaendesha kampeni ya kumpigia kura Davido na sio mtanzania mwenzake diamond.

Ila tu nisisitize, jokate, wema, na mange, nyie na washabiki wenu mpigien davido wenu, ila msitake kufanya watanzania wengine wamchukie diamond bila sababu. Sisi watanzania wengine tutampigia kura.

Na naona vanesa nae ashaanza kuingia team wema, mana anajipigia promo yeye mwenyewe na kumuacha diamond, badilika dada.

Vote for diamond ana Vanesa, MTv awards.

Mashabiki wa diamond pia mnachochea hii kitu.
 
Back
Top Bottom