kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
Hii hapa
Kwan fan Page ndo anapost diamond hata we unaweza kuanzisha fan page yko ya msanii unaempenda official fan page ya diamond n wasafi classic baby jipange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapa
Unalamba matapishi yako leo"Ni upuuzi kipindi cha kura kuja kutulilia tumpigie kura dai in the name of the so called uzalendo, alafu mkibeba tuzo mnarudi kututukana, huo upuuzi hatutaki tena uje kujirudia.
Vote for Davido. OVER
Hahaha hapa ulionyesha hasira kweliNa bado.Sio huyu diamond tu, tatizo lipo kwa mashabiki wake pia.Juzi hapo baada ya taarifa kutoka kuwa kapata nominations huko tulitukanwa na kukashifiwa sana humu JF, sasa nimpigie kura ili ashinde halafu nitukanwe zaidi?
No way, nitampigia ninayemtaka maana device na bundle vyote ni vyangu na hakuna wa kunipangia.
Nakusalimia cute bTuliza kengele huko usinizoeee nitakunyea utosini mavi yashuke na wew. Mfyuuuuuuuu
Hapa mkuu uliandika kwa kukolezea na wino kabisaNi upuuzi kipindi cha kura kuja kutulilia tumpigie kura dai in the name of the so called uzalendo, alafu mkibeba tuzo mnarudi kututukana, huo upuuzi hatutaki tena uje kujirudia.
Vote for Davido. OVER
Duh ni mimi niliandika kweli?Nakusalimia cute b
Hahahaaa ww huyo kwa akili zako kabisa" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatariDuh ni mimi niliandika kweli?
account yangu ilikuwa hacked
Hahahaaaa daah mkuu alinyakua zoteeDomo hapati hizi tuzo hata aroge...akachukue tuzo za kulea mimba
Hahahaa mkuu ilipovu umelisahau zile thread zako za uzalendo kisa kiba kawa nominated hapa vipi we ulionyesha uzalendo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni upuuzi kipindi cha kura kuja kutulilia tumpigie kura dai in the name of the so called uzalendo, alafu mkibeba tuzo mnarudi kututukana, huo upuuzi hatutaki tena uje kujirudia.
Vote for Davido. OVER