Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
<br /><br /><br />
<br /><br />
anapiga course gan?
<br />
community development.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br /><br /><br />
<br /><br />
anapiga course gan?
<br /><br /><br />
<br /><br />
community development.
Sio kweli ay snare na buff g walikuwa wanakindi linaitwa SOG wakati wanasoma ifunda tech kwanza ay anasema gk ndo mtu wa kwanza kumpeleka studio kuimba gk kaliongoza kundi vizuri tena kwa mafanikio na wengine kama tmk wakafuata sema kuna mtu alikuwa anaua makundi ili kudhoofisha umoja wa wasanii kwa ajili ya maslahi yake
<br />tumaini hakuna community development ,kama hujui usichangie uongo
<br />CRAZY GK aka BOKASSA...NAMPENDA ALIKUWA NACHANA KAMA DMX.... DOGO ALIKUWA FRESH...HAKUWAHI KUBEBWA NA AY WALA FA..ILA YEYE NDIYE ALOWAFUNDISHA MUSIC NA KUWABEBA
Jamani nlikua naomba kujuzwa na wadau wa muzik hum ndan...Crazy GK yuko wapi sku hiz!
Huyu jamaa bado yupo hum bongo au kashatimkia zake mbele,ka yupo anafanya kaz gani,yuko kwenye hali ipi
plz mwenye info !!!
Mkuu na wewe siku hizi umeadimika kweli...CRAZY GK aka BOKASSA...NAMPENDA ALIKUWA NACHANA KAMA DMX.... DOGO ALIKUWA FRESH...HAKUWAHI KUBEBWA NA AY WALA FA..ILA YEYE NDIYE ALOWAFUNDISHA MUSIC NA KUWABEBA
Huyu anaunga na wenzake kina Snare, Buff G na O ten. Walikuwa wanabebwa na AY &FA ndao ya EAC. Wamefulia, game tyte.
jama yupo Tumaini university ana soma BA in mass communication ndio anaingia mwaka wa tatu sasa,yuko darasa moja na dj fetty wa clouds,
moja wa lecturer wao ni godwin gondwe,allan lawa, ,na nimeskia toka kwa mtu wake wa karibu soon atatoa nyimbo na mmoja wa washirika wake wa east coast sasa sijui ni yupi kati ya AY na FA. sema muziki sio kivile sana ,kizuri kuhusu huyu jama pamoja kwamaba alishine san miaka ya nyuma jama ni peace na anaishi maisha yake binafsi ana intaract na kila mtu chuo bila kujali alikuwa star au la .ukilinganisha na masta wengine walipo hapa chuoni .wengi wanatumia u star wao ku chukua mademu lakini jama yuko poa sana hana hiyo tabia kama sio sura yake ni raihisi kumgundua ,hakuna mtu chuo ange weza jua jama ana famika TZ.ma star wa bongo wa ige maisha yake ,haringi wala hajikwezi
Sio alikuwa P Funk Majani kweliSio kweli ay snare na buff g walikuwa wanakindi linaitwa SOG wakati wanasoma ifunda tech kwanza ay anasema gk ndo mtu wa kwanza kumpeleka studio kuimba gk kaliongoza kundi vizuri tena kwa mafanikio na wengine kama tmk wakafuata sema kuna mtu alikuwa anaua makundi ili kudhoofisha umoja wa wasanii kwa ajili ya maslahi yake