Crazy gk we miss u!!

Crazy gk we miss u!!

CRAZY GK aka BOKASSA...NAMPENDA ALIKUWA NACHANA KAMA DMX.... DOGO ALIKUWA FRESH...HAKUWAHI KUBEBWA NA AY WALA FA..ILA YEYE NDIYE ALOWAFUNDISHA MUSIC NA KUWABEBA
 
...kama aliamua kurudi Shule ni jambo la Msingi. Nadhani pia ana lengo la kurithi mikoba ya Mama yake mzazi katika siasa. Mama yake ni Mbunge wa Viti Maalumu Chadema Mh. Kaihula.
 
miiko kumi ya rap nitakufaje pia alileta mapinduzi katika mauzo ya tshet na nguo kwa wasanii rudi bokasa game limeharibika. Mama yake ni mbunge wa chadema mh kaihula labda anataka kumpeleka kwenye siasa upanga east tunatisha
 
Sio kweli ay snare na buff g walikuwa wanakindi linaitwa SOG wakati wanasoma ifunda tech kwanza ay anasema gk ndo mtu wa kwanza kumpeleka studio kuimba gk kaliongoza kundi vizuri tena kwa mafanikio na wengine kama tmk wakafuata sema kuna mtu alikuwa anaua makundi ili kudhoofisha umoja wa wasanii kwa ajili ya maslahi yake
 
Sio kweli ay snare na buff g walikuwa wanakindi linaitwa SOG wakati wanasoma ifunda tech kwanza ay anasema gk ndo mtu wa kwanza kumpeleka studio kuimba gk kaliongoza kundi vizuri tena kwa mafanikio na wengine kama tmk wakafuata sema kuna mtu alikuwa anaua makundi ili kudhoofisha umoja wa wasanii kwa ajili ya maslahi yake


Hao ndo wale sugu anawapiga vita kila siku, tatizo TMK wamekubali kufuata matakwa yao ndo mana ina survive mpaka sasa!!! NI watu hatari sana kwenye hii sanaa kwa kweli!!!!
 
tumaini hakuna community development ,kama hujui usichangie uongo
 
jama yupo Tumaini university ana soma BA in mass communication ndio anaingia mwaka wa tatu sasa,yuko darasa moja na dj fetty wa clouds,
moja wa lecturer wao ni godwin gondwe,allan lawa, ,na nimeskia toka kwa mtu wake wa karibu soon atatoa nyimbo na mmoja wa washirika wake wa east coast sasa sijui ni yupi kati ya AY na FA. sema muziki sio kivile sana ,kizuri kuhusu huyu jama pamoja kwamaba alishine san miaka ya nyuma jama ni peace na anaishi maisha yake binafsi ana intaract na kila mtu chuo bila kujali alikuwa star au la .ukilinganisha na masta wengine walipo hapa chuoni .wengi wanatumia u star wao ku chukua mademu lakini jama yuko poa sana hana hiyo tabia kama sio sura yake ni raihisi kumgundua ,hakuna mtu chuo ange weza jua jama ana famika TZ.ma star wa bongo wa ige maisha yake ,haringi wala hajikwezi
 
The Comedy walimugiza haswa Mpoki nilicheka sana jinsi alivyokuwa anampatia kwenye kurap

kammaa kamma vippi nddio viilllee nawakirishhha uppangga easst weest ccoast..!! aah! mmmii ndioo Bokasaa...!!!

unaniskia nikiwaza unaniskia sauti yako naiskia sauti ya manka( aka Mankia)

Jamaa alikuwa anamlea O'Ten sijui nae kaishia wapi last time nilimuona akiwa kwenye kigari chake sports used one au kesha rejea Moro!
 
Gk bokasaa,dah huyu jamaa kankumbusha mbali,itikadi,ama zangu ama zao na komaa nao.rud gk
 
CRAZY GK aka BOKASSA...NAMPENDA ALIKUWA NACHANA KAMA DMX.... DOGO ALIKUWA FRESH...HAKUWAHI KUBEBWA NA AY WALA FA..ILA YEYE NDIYE ALOWAFUNDISHA MUSIC NA KUWABEBA
<br />
<br />
Too much defensive..una maanisha aliwabeba wenzake akasahau kujibeba..ameshazeeka habebeki tena
 
Sister sister.!! Nakamata microfoni gk sio kama naimba bali nammlilia mtoto mzuri alopotea..
 
Jamani nlikua naomba kujuzwa na wadau wa muzik hum ndan...Crazy GK yuko wapi sku hiz!

Huyu jamaa bado yupo hum bongo au kashatimkia zake mbele,ka yupo anafanya kaz gani,yuko kwenye hali ipi
plz mwenye info !!!

Threads za watoto wa jana utazijua tu!
 
CRAZY GK aka BOKASSA...NAMPENDA ALIKUWA NACHANA KAMA DMX.... DOGO ALIKUWA FRESH...HAKUWAHI KUBEBWA NA AY WALA FA..ILA YEYE NDIYE ALOWAFUNDISHA MUSIC NA KUWABEBA
Mkuu na wewe siku hizi umeadimika kweli...
 
Umejibu kitu ambacho hukuulizwa ,kwa kukusaidia GK ni mmoja wa watu waliofanya mapinduzi kwenye muziki wa kizazi kipyanikiwa ,Huwezi ukalinganisha heshima yake ama historia yake na AY ama FA .Katika nyimbo za kwanza kuanza kuingia kwenye chat za redio (maarufu kama top ten chat) GK alifanikiwa kutoa kibao mama na kikafanya mageuzi makubwa miaka ya 1990.Kwa kukusaidia zaidi Ay alikuwepo ila alipopewa ft. na GK kwenye nyimbo ililiyokuwa inaitwa miko kumi ya rap ndipo alipotambulika zaidi.GK alikwa na mapungufu yake wakati wa Eastcoast Team ila kama unafuatilia Historia ya muziki wa kizazi kipya Bongo Gk yupo kwenye kundi tofauti na hawa watoto wadogo kina AY,FA ambao wanamajina makubwa pasipo mafanikio yanayoendana na umaarufu wao.Ukimzungumzia Gk unatakiwa uzungumzie watu kama kina Hasheem aka Dogo,Mr II,Gwangwe Mob,Weusi Wagumu Asilia,N2P,HBC,Soggy Doggy,Balozi,Ezy B,SOS B ,Kwanza Unit ,Underground Soulz,Afro Rain,Hardcore Unit,Saigon ,GWM na wengine wengi.....ambao unaweza usiwe unawathamini baazi yao kutokana na kutojua michango yao kipindi hakuna FM Radio za kutosha
Huyu anaunga na wenzake kina Snare, Buff G na O ten. Walikuwa wanabebwa na AY &FA ndao ya EAC. Wamefulia, game tyte.
 
jama yupo Tumaini university ana soma BA in mass communication ndio anaingia mwaka wa tatu sasa,yuko darasa moja na dj fetty wa clouds,
moja wa lecturer wao ni godwin gondwe,allan lawa, ,na nimeskia toka kwa mtu wake wa karibu soon atatoa nyimbo na mmoja wa washirika wake wa east coast sasa sijui ni yupi kati ya AY na FA. sema muziki sio kivile sana ,kizuri kuhusu huyu jama pamoja kwamaba alishine san miaka ya nyuma jama ni peace na anaishi maisha yake binafsi ana intaract na kila mtu chuo bila kujali alikuwa star au la .ukilinganisha na masta wengine walipo hapa chuoni .wengi wanatumia u star wao ku chukua mademu lakini jama yuko poa sana hana hiyo tabia kama sio sura yake ni raihisi kumgundua ,hakuna mtu chuo ange weza jua jama ana famika TZ.ma star wa bongo wa ige maisha yake ,haringi wala hajikwezi

Safi sana ,God be with him amalize chuo salama.Watu tulioanza kusikiliza muziki huu miaka ya 1991 kipindi cha kina Salehe Jabri Tunajua na kuthamini mchango wake kwenye muziki wa kizazi kipya .Ni moja ya wanamapinduzi wakongwe na wenye heshima kubwa sana kwa mziki wa kizazi kipya.Daima tupo naya na tunasubiria arudi kutupa nasaha zake kupitia muziki
 
Sio kweli ay snare na buff g walikuwa wanakindi linaitwa SOG wakati wanasoma ifunda tech kwanza ay anasema gk ndo mtu wa kwanza kumpeleka studio kuimba gk kaliongoza kundi vizuri tena kwa mafanikio na wengine kama tmk wakafuata sema kuna mtu alikuwa anaua makundi ili kudhoofisha umoja wa wasanii kwa ajili ya maslahi yake
Sio alikuwa P Funk Majani kweli
 
Back
Top Bottom