the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Acha tu ,nilikua napita njia ya juu sikosi sababu mara mgonjwa nikiona hawaelew naweka ubabe nakula![]()
Foleni ya msosi tosa boys ,bila kua mbabe lazima hii foleni ikuhusu ,mazingira mengine yalitulazimu tuwe wakorofi maana hakukua na namna