the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Acha tu ,nilikua napita njia ya juu sikosi sababu mara mgonjwa nikiona hawaelew naweka ubabe nakula
Foleni ya msosi tosa boys ,bila kua mbabe lazima hii foleni ikuhusu ,mazingira mengine yalitulazimu tuwe wakorofi maana hakukua na namna
Nilikuwa namisi sana kwa sababu ya upole ikabidi nianzishe urafiki na mess leaderKwenye suala la kula kila siku nlikuwa wa kwanza kwenye mstari
Hahaha npo kama wewe yan...marafiki ambao nlikuwa nawapa kipaombele walikuwa ni wafanyakazi wa jikoni na mess leaders... [emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa namisi sana kwa sababu ya upole ikabidi nianzishe urafiki na mess leader
Nilikuwa namisi sana kwa sababu ya upole ikabidi nianzishe urafiki na mess leader
toiosssi[/URL]oassslork oassslork
Pouuu Pouuu 7l
islands
Aiii
Hahahaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakumbuka chekechea niliwai liaa sana eti nimepoteza beg la kubebea daftar nilitafutaa we uku nalia kumbe nilikuwa nimelivaa mgongoni#i'll never 4get
Na snopy dogy shirtYeah Mkubwa OPP za draft
Dah..una uhakika ulikuwa shule? isije kuwa ilikuwa ni jela chief...πππππNa siku ya kula wali unavaa nguo za mapigano. Uji ukiwa hauna sukari na maharage yamejaa wadudu lakini mnagombania!
[emoji11] doooooDah..una uhakika ulikuwa shule? isije kuwa ilikuwa ni jela chief...πππππ