Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Kwa wale tuliosoma Tabora Girls mnakumbuka mambo ya WARSAW NA BERLIN
tukitoka disco pale milambo wanaume tukiwa tunarudi tunawakuta wavulana wa TABORA BOYS ndo wanakula ugali wa usiku tunawazomea haoooo tumetoka kwa shemeji zenu basi usiku wanavaa kininja wanakuja Girls na fimbo na kutuchapa vibaya mno..............
Nilikuwa nikienda kupiga punyeto!najitayarisha kama naenda library na bweni lazima wajue!!!nabeba kikopo changu,sabuni na picha ya kunipa stimu demu kakaa kihasara ni ya porn! hiyo tulikuwa tunaazimana kwa kila mpiga nyeto!
ha ha ha ha ha ha..........
mpaka nimesahau kuandika vyangu.......
aksante sana Invisible , na wengineo wote kwa kutuchangamsha na visa vya zamani....
wapi Evelyn Salt ,
ha ha ha ha ha ha..........
mpaka nimesahau kuandika vyangu.......
aksante sana Invisible , Dark City , Kongosho na wengineo wote kwa kutuchangamsha na visa vya zamani....
wapi Evelyn Salt , King'asti , lusungo , Karucee ,[MENTION]ralpunzel[/MENTION] , Jawilat , Arushaone , Preta , Mamndenyi , Mauno , masai dada watu8 Heaven on Earth , charminglady na wengineo
ha ha ha ha ha ha..........
mpaka nimesahau kuandika vyangu.......
aksante sana Invisible , Dark City , Kongosho na wengineo wote kwa kutuchangamsha na visa vya zamani....
wapi Evelyn Salt , King'asti , lusungo , Karucee ,ralpunzel , Jawilat , Arushaone , Preta , Mamndenyi , Mauno , masai dada watu8 Heaven on Earth , charminglady na wengineo
Hivi huwa mnaanzia wapi kutafuta thread za zamani??
You just made my day....nikipata nafasi nitatupiamo kengine....I hope haitakuwa replay!
Mubarikiwe sana......
mimi nilidanganyaga naumwa mguu wa kulia ili nisiende shule nikapelekwa kwa nguvu na baiskeli
KURUDI NIKAWA NACHECHEMEA WA KUSHOTO
unajua tumeona tujikumbushe hazina za zamani baada ya majukwaa kuzidi utoto na wengine hatuna vipaji vya kuanzisha thread na changamoto zetu za maisha tunapambana kimya kimya........
Big up sana , hii kitu imenifanya nikumbuke mengi na kucheka sana.
Nadhani hii ni strategy nzuri. Siku nikikosa uzi wenye mashiko nakimbilia kwenye archive! Kuna mambo mengi yalijadiliwa huko nyumba na alikuwa na tija sana...kwa kuchangamsha, kufundisha na kutuweka pamoja kama jumiya ya wana JF/MMU!
Zamani ilikuwa ukiingia kwenye thread unaburudika , unajifunza , na unajijengea ukomavu wa kujenga hoja.......
Ni vizuri kuingia chimbo wakati mwingine kuchangamsha akili na kupima tofauti ya miaka hiyo na wachangiaji wake.......
tumewamiss watu kama kina AshaDii The Finest Lizzy Dena Amsi etc.
Kweli kabisa mkuu,
Kuwa wadau wengi sana, tena muhimu katika huu dunia ya MMU wamepotea sana....
Huyu Da Asha (@AshaDii) kapotea mno hadi anatia shaka. Kuna wadau wengine kama klorokwini, Nyamayao, WoS (@WomanOfSubstance)...na wengine kibao ambao naamini ni wazima ingawa kimya chao kinatia shaka.
Enzi hizo ilikuwa hatari kufungua JF kabla ya kuchapa kazi kwani uwezekano wa kukamatika ulikuwa mkubwa sana. Siku hizi hata ukifungua, bado utaondoka tu....Hakuna sumaku tena!
cc😡Mbu, The Boss, Fixed Point, gfsonwin, KOKUTONA, Preta, marejesho (huyu lazima nimfikishe kwa pilato ndani ya wk 2 zijazo), Blaki Womani, mwenyekiti PakaJimmy na wadau wengine kiboa.....!