Crazy things you did in secondary school



Bado unagawa kisago hadi leo?

Just being curious...lol!!
 


Heshima yako babu yangu
 
Nilikuwa nikienda kupiga punyeto!najitayarisha kama naenda library na bweni lazima wajue!!!nabeba kikopo changu,sabuni na picha ya kunipa stimu demu kakaa kihasara ni ya porn! hiyo tulikuwa tunaazimana kwa kila mpiga nyeto!

Wapiga nyeto wote walikuwa na matege ya mikono...muda wote mikono imeelekea kwenye maungo ya siri kama ubanio wa kusongea ugali vile
 

Mkuu Hii Akili Yako Ni Kama Wa Iyunga Boys Mbeya
 
Daaah,
Miaka hiyooo;
Shule ya msingi, wakati tunarudi home mvulana mmoja alikuwa na tabia ya kutembea na kioo ile mmezubaa njiani mnaongea, kidogo tu unakuta kaweka kioo chini wavulana wanachungulia kama umevaa chup.i.

Siku aliniwekea, bahati nilivaa chup.i ya kitambaa cha jinja, nikasikia wanasema amevaa, loooh.
............. hii ni moja tu, sekondari? chuo? nitarudi tena.
 
Hii koment imenichekesha sana, Mamndenyi kwa nini umeniita huku?

 
Last edited by a moderator:
Mie hii ilinifanya nikahama fasta, nilikuwa siielewi elewi, ilikaa ni lesbian zaidi.

Kurudi home likizo nikamwambia mzee, bora simba ile mimi, si samaki aisee. Nikapelekwa shule mchanganyiko, na huko ndio nilijifunza 'escape from sobibo'. Girls pekee ningekuwa mzembe sana.

Ila, ***** wale mabinti, bahati walinikuta nna akili za kujiongeza tu, ila sijui kama winfrida alitoka akiwa mtu tena, kama waliendelea vile?

unakumbuka kuwa na vijembe......unakuwa na ukoo hapo shule ambao mnaheshimiana kama unavyoheshimu wazazi wako na pengine hata zaidi ya siblings wako. Unakuwa na mtoto, mama, bibi, aunt and so on.
 
Thread imenifanya nimecheka..

Mie changu kituko nilikua na tabia ya kutoroka jioni na mabest kwenda kula chips..sasa kule kuna baridi vibaya inabidi kuvaa suruali ya track ndani na sketi ya shule juu....ile tumetoka tukashauriana tukatafute kwanza matunda..eneo limejaaliwa matunda hatari.

tukachuma peaches jaza kwenye makoti kwenye suruali ilimradi tumebeba...ile tumechomoza barabarani tu mkuu wa shule huyu hapa...na alitufahamu kutokana na mie nilikua binti mrefu zaidi kwa hivyo alishanikariri...aisee alitukimbiza sitosahau...nikakimbilia kwenye kijumba hakijakamilika vichaka kibao.

hapo kiza kimetanda! Mara mtu akapiga simu kimlio cha motorola aisee..nilitoa betri kama mwendawazimu

nikapita njia ambayo siikumbuki mpaka leo nikajikuta bwenini dkk 5 mkuu huyo akaitisha rollcall....hapo nikabadili nguo nikaenda.

Sitosahau ile siku kwa kweli..
 
Me nakumbuka shule as girls school kuna kaugonjwa kakucheka cheka, basi kipindi hicho sijui tulikua hatujawekewa mafuta ya taa???

Basi tukaanza kucheka hahahaaaa uuuuuuuuuu!!!!! Basi darasa hadi darasa yani likitoka hili wanapokea hawa,,walimu wakaja darasani kwetu wameingia tu, tukaangua kicheko weee majanga wakasema tunawacheka wao, tulisambaziwa kichapo jamani huku tunacheka bado unachapwa huku unachapwa,

tukatolewa nje kwenye jua kupiga magot bad tunaangu kichek balaa tulichapw had nikalazw hospital wik nzim sijielewi.
 

Mkuu umenikumbusha mbali mno japo mie sijasoma miaka hiyo. Nyuma ya mwongozo ule mti ulikuwa mpilipili manga na pembeni kiwanja cha Basketball.

Na jikoni sisi alikuwa mzee Shed ambaye akimuona jamaa wa kugawa maharage anampa mtu vijiko viwili (kijiko ukubwa wake kama nusu nazi ama kifuu) anapewa vibao vya maana kwakuwa anamaliza ma beans.
 
Hahahaa, Mzee Shedi na Chonya wake hahahhaaa. Utasikia wanawaambiwa "Mpishi, chikulomba Malenga" na wao wanajibu "Malenga msina." Hapo ni kuwa Maji hakuna. Au unasikia "Chikulomba Ukoko...."

Mhhh, hata ukoko hawatoi vilevile. Ile shule ilikuwa nzuri sana kama unataka kusoma pamoja na shida zake zote.

 
nakumbuka nikiwa kibaha sekondari nilifumwa gizani naimbisha mtoto wa mwalimu wacha kabisa second master alinipa kipondo heavy hadi nilisinzia

kipondo cha mtongozano lusungo ulikipata very late..........

nakumbuka darasa la tano primary nilipokea stiki za kutosha mbele ya class kisa niliandika barua ya kumuimbiza wifi yake ticha wangu wa kiswahili............ siwezi kusahau maana hata papuchi sikula aseeeeh!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

.....Na leo wewe ni mwalimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…