Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
me niliingia f 5 akatokea mvulana flan hv akajifanya mjuaji akatuchora ubaoni wasichana kama wa5,wewee alijuta kunichora nilimsambazia kichapo kikali,,watuu had leo hua hawanielewi yani,c unajua mtu akiwa na kosa anakua mdogo,,,,,,kichapo hadi walikuja kuamulia f6,had leo huyo jamaa ananiheshim na shule nzima watu shiii af nikapewa uongozi nikawa nikisema kitu watu ndiooo?!!!
Bado unagawa kisago hadi leo?
Just being curious...lol!!