Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
PoleniTosamaganga hiyo boys food fighting
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleniTosamaganga hiyo boys food fighting
Jamaa unazingua ujue,Nakumbuka siku ya kula wali J4 lakini viongozi wa chakula anajichotea wali wa kutosha anakulahadi Ijumaa
Useduofolkonilitumwa ofisini kwa mkuu nkakuta mikate imepakwa brubend kabsa nkaificha ndan ya sweta langu kumbe ilikua ya wasimamizi wa mitihan ya kidato cha sita duu ilikua nongwa kweli
UMseminari wewe
Mseminari wewe
Bwenini ilifika kipindi Maticha wanawataka girls, msosi wa shule tabu sasa mademu wanapenda raha sana.
[emoji23] Kuna Ticha akawa anachukua nyama na mchuzi na kwenda kuwahonga girls wawili ambao walikuwa na mbolea za maana, wale girls nao wanachukua na kwenda kumuhonga jamaa yao anayewagonga wote. Hakuambulia kitu, kuja kushtuka Wasichana wakamtema. Kaenda kutongoza mwingine katemwa, hasira ya kupigwa chaga alikuja kutafuta sababu akatia stiki darasa zima.
[emoji3] Yaani shule ilifika kipindi maticha wanapigwa mtoso hadi wakapiga mkwara hakuna Boy kukaa na msichana wakiwa wawili tu hata discussion. Mkikutwa ni utaingizwa ofisini watakuchangia stiki wote,
______________
Kimbembe huko bwenini sasa si ajabu kukuta siku ya jumatano hakuna nguo iliyoanikwa. Watu wanaanika nguo kwenye kenchi akiziangalia hadi zikauke, ukizubaa utaenda darasani na shamba dress. Inafika kipindi mtu akiambiwa avue soksi zipimishwe urefu moja ni ndefu nyingine inafika nusu ya urefu wa hiyo soksi ndefu. Kisa kuibiana soksi na shule nzima tunavaa za aina moja na rangi moja ila zina urefu tofauti.
Ukifika muda wa kulala ikizimwa taa sasa watu wanaanza kupondana mademu zao, utasikia we bwana wako ana kichwa kama jembe.
Ukienda darasani kusoma usiku hutosoma utaishia kuangalia live sex. Watu walikuwa wanagongana kama magari yaliyokosa breki, muda wa kulala madarasa ni gesti
Liiiil upopyl by ipllikl
Niliwahi kugongwa muhuri kwenye t.ako na Mwalimu mkuu.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Niliyoyafanya mimi sidhani kama kuna mwingine alishawahi kuyafanya[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Jamii Forums mobile app
Niliwahi kugongwa muhuri kwenye t.ako na Mwalimu mkuu.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23l]lllkl [emoji23] [emoji124] [emoji125]l [emojil125] [emoji377] [l]km [emojill3ll77] llllllpl
Ll[colppor=red]Jamii Fo[/lllklifmmll][colollr=yellow]rums mpllllllkmlklmlllor=green]bile /QUOlllklkllklll
Po Oll lllll
Loplkll illOli mpllllllkmlll
Kuchelewa skonga afu kujificha kwenye mahindi, sjawah fanya morning speech always at toilet [emoji23][emoji23]
Niliwahi kugongwa muhuri kwenye t.ako na Mwalimu mkuu.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaanikwa juani chini ya ulinzi mkaliHahahahahah hii kubwa kuliko...wali kula kwa more than 2 days pasipo kuchemshwa
Mkuu chekechea nayo umekuwa sekondari siku hizinakumbuka chekechea niliwai liaa sana eti nimepoteza beg la kubebea daftar nilitafutaa we uku nalia kumbe nilikuwa nimelivaa mgongoni#i'll never 4get
I am olllll. M lan lalanp mi I lolo o okk
Liiiil upopyl by ipllikl
Sent using Jamii Forums mobile app