Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Advance tulikuwa tunawapiga picha wale form5 na simu na wanatakiwa walipie tulikuwa tunaita picha za utambulisho wa Dom tumewachapa sana bakora form5.
Kuna m1 alijifanya mbishi maana mara nyingi tulikuwa tunawatumia fm6 weny miili midogo kuna mshakj wangu akamwandikia barua " mm xx nmegoma kukaribishwa Dom kwahyo naenda kulala gesti" akaweka na sain dogo tukamwambia asepe barua tayar tunayo dogo akawa mzito tukamuelekeza nyumban kwa mkuu kama vp akapate hifadh ya kulala dogo akawa mzito akadai tumemuibia simu yake asee alipigwa na wadau alafu akaambiwa akashtak kwa mkuu pale dogo akajua kumbe hata mkuu haogopek ikabid aondoke siku ile alilala class na mabeg yake kesho asbh kaja tukamnyamazia na Dom tulimkataza asiingie anaomba msamah ikabid tumwlekez kwa mkuu akashtak vzr lakn akatuomba sana msamah tukamruhsu akae.
Mwingine alivyopokelewa Dom watu wakazma taa fm6 m1 akazima taa akasema lete mafutaa(hawakumfanya chcht) yule dogo mwezi mzima akawa akikutana na fm6 Anashka kichwa kama kachanganyikiwa
Tumekula sana kuku za walimu na Wanakjji plus mahindi,mihogo,ndizi na wadada wa kijijin+wamama.
Kuna m1 alijifanya mbishi maana mara nyingi tulikuwa tunawatumia fm6 weny miili midogo kuna mshakj wangu akamwandikia barua " mm xx nmegoma kukaribishwa Dom kwahyo naenda kulala gesti" akaweka na sain dogo tukamwambia asepe barua tayar tunayo dogo akawa mzito tukamuelekeza nyumban kwa mkuu kama vp akapate hifadh ya kulala dogo akawa mzito akadai tumemuibia simu yake asee alipigwa na wadau alafu akaambiwa akashtak kwa mkuu pale dogo akajua kumbe hata mkuu haogopek ikabid aondoke siku ile alilala class na mabeg yake kesho asbh kaja tukamnyamazia na Dom tulimkataza asiingie anaomba msamah ikabid tumwlekez kwa mkuu akashtak vzr lakn akatuomba sana msamah tukamruhsu akae.
Mwingine alivyopokelewa Dom watu wakazma taa fm6 m1 akazima taa akasema lete mafutaa(hawakumfanya chcht) yule dogo mwezi mzima akawa akikutana na fm6 Anashka kichwa kama kachanganyikiwa
Tumekula sana kuku za walimu na Wanakjji plus mahindi,mihogo,ndizi na wadada wa kijijin+wamama.