Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Sio kosa lake mkuu, wengi tumesoma kwa neema tu.
Tumshukuru Mungu kwa hilo.
Muwege mnaandika kwa kiswahili na sie akina mama lishe tupate concept
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘
Ulivyoandika utadhani labda unanijua sana!!! Kwa taarifa yako sikubahatika kusoma!!!
hahahaahahahah, good morning mpendwa wangu. hahahahaHahajhahhahahaha....ww ni shida jmn
hahaah, naona memba huyo kakazania kunichamba utadhani aliniona wakati natoroka kipindi cha kiingilishi shuleni.Leo ww umekunywa...yaan nachoka balaa
Kusoma sio tena eti Mungu!
Tufikie kiwango kusoma ni lazima na haki ya msingi kwa kila raia!
Mtoto asieenda shule wazazi wake wafungwe!
Mtu mzima Asieenda chuoni achapwe na afungwe!
Ifikie kipindi kusoma iwe haki ya kila mtu kama ilivyo kula au kupumua!
Nchi itoe hii haki wasiachiwe wananchi maana hawajui lolote
hahahaahahahah, good morning mpendwa wangu. hahahaha
Nipo tu na wateja wangu, nawaandalia leo vyakula asilia bila mafuta wala ninimorning lov...miss u
Nipo tu na wateja wangu, nawaandalia leo vyakula asilia bila mafuta wala nini
hahaaah, tena napikia kuni sio mkaa wala gas. hahahahahahahaHahahahaha.unawapa Huduma CHUKUCHUKU πππππ
hahaaah, tena napikia kuni sio mkaa wala gas. hahahahahahaha
Bado karne hii unalalamikia Kiingereza?
Ulienda shule,ukasoma masomo yote kwa Kiingereza mpaka ukaota mvi,halafu leo unalalamikia jamii kwa kutumia Kiingereza
Unalalamika kwa uzembe wako wewe binafsi wa kutokujua Kiingereza kwa jamii?
Hivi magazeti ya Kiingereza unasomaje wewe?CNN,etc unasikilizaje wewe?
Jamii ikusaidie nini kwa uzembe wako mwenyewe?
Wewe hupendi Kiingereza kutokana na uzembe wako,hapo hapo unataka watoto wako wajue Kiingereza cha hali ya juu..
Such a problem!
Concept?ππMuwege mnaandika kwa kiswahili na sie akina mama lishe tupate concept
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘