CRDB bank inapokea mwisho kiasi gani?

CRDB bank inapokea mwisho kiasi gani?

Kama ushafanya Dili haramu w@ambie wakupe cash ili msianze kufuatiliana na CRDB
Haha! nna ndoto ya kufanya biashara ya kimataifa ambayo pesa itakua inaingia nyingi so nataka nijue kiwango ambacho bank yangu inapokea ili nsisumbuke kuzidisha miamala.
 
Angalia dm yako nimekutumia account yangu unipunguzie na mimi, tafadhali usiniache kwenye huo ufalme wako unikumbuke
 
Haha! nna ndoto ya kufanya biashara ya kimataifa ambayo pesa itakua inaingia nyingi so nataka nijue kiwango ambacho bank yangu inapokea ili nsisumbuke kuzidisha miamala.
Ubaya wa bank za kibongo, zikiingia pesa nyingi. Unaanza kusumbuana na mamlaka. Hao CRDB lazma wakuite uhojiwe huko Account ikizuiwa mpaka utoe maelezo
 
Nilijua tu nitakuta comments za kiwaki bila jibu la kueleweka.
Lawama ziende kwa Ccm.
 
Ubaya wa bank za kibongo, zikiingia pesa nyingi. Unaanza kusumbuana na mamlaka. Hao CRDB lazma wakuite uhojiwe huko Account ikizuiwa mpaka utoe maelezo
Duh! asee so kiwango gani cha mwisho hawafuatilii
 
Back
Top Bottom