CRDB Bank -Lumumba ni 'Maua' na Maua!

CRDB Bank -Lumumba ni 'Maua' na Maua!

Maua na mikorogo, wapi na wapi?
Tiba
Du Tiba!, ama kweli!, kwa nini lakini wanawake hampendani?!, yaani wewe Tiba unawaoneaje wivu wadada wa watu hata huwajui?!. Wadada hao wako natural wamependeza, unawasingizia mkorogo?!, that's not fair!. Au kwa vile wanafanya kazi nzuri, ofisi nzuri, wanalipwa pesa nzuri, mazingira ya kazi ni full kipupwe, hivyo wanaungua jua kidogo sana!, hii inapelekea wengi wao kung'aa unadhani ni mkorogo?!. No way!.

Hizi picha nimepiga mwenyewe, mimi ni mteja pale!, hakuna mkorogo wowote hapo!.
NB. Pia uwe na uwezo wa kudistinguish poda na mkorogo!, kama ni huyo cheupe, huyo cheupe ni cheupe original tena kule kwenye vyeupe, ila nakiri, kimetupia hapo poda nyingi kidogo!.

Wadada pendaneni!.

Pasco
 
ww pasco kweli kipofu alafu unalalamika wanawake wana wivu hawa wote hawamkutii bibi yangu bi fatma binti ally binti shamte
 
Du Tiba!, ama kweli!, kwa nini lakini wanawake hampendani?!, yaani wewe Tiba unawaoneaje wivu wadada wa watu hata huwajui?!. Wadada hao wako natural wamependeza, unawasingizia mkorogo?!, that's not fair!. Au kwa vile wanafanya kazi nzuri, ofisi nzuri, wanalipwa pesa nzuri, mazingira ya kazi ni full kipupwe, hivyo wanaungua jua kidogo sana!, hii inapelekea wengi wao kung'aa unadhani ni mkorogo?!. No way!.

Hizi picha nimepiga mwenyewe, mimi ni mteja pale!, hakuna mkorogo wowote hapo!.
NB. Pia uwe na uwezo wa kudistinguish poda na mkorogo!, kama ni huyo cheupe, huyo cheupe ni cheupe original tena kule kwenye vyeupe, ila nakiri, kimetupia hapo poda nyingi kidogo!.

Wadada pendaneni!.

Pasco

Pasco,

Hakuna suala la wanawake kutokupendana kwenye comment yangu. Hayo yalikuwa ni maoni yangu na hii inatokana na jinsi nilivyoziangalia picha zenyewe. Kumbuka mpenda chongo huita kengeza, hivyo wewe sio rahisi hayo mapungufu uyaone. Kwako wewe kwa kuwa unawapenda, na kwa lugha yako "mkorogo ni poda".

Tiba
 
sura hizi zingekuwa zinalandana na tabia ....nadhani huduma zingekuwa bora na wengi wangeenda kufungulia account/kuweka na kutoa fedha hapo
 
Majungu na wivu tu kama huyo niliyemtaja ni mzuri natural na ni mweupe tangu utotoni namjua nimekua nae na kusoma nae natunaishi jirani kama ndugu na wala sio nung'a embe amesoma na kaolewa.


Fitina titi la paka halifai kwa mtindi.
 
wengi mlio comment maua ni mnajaribu kupaka thread mafuta kwa mgongo wa chupa...kwa ambao mmetembea nchi za wenzetu najua hapa mtaona maua mnyauko.....
ma teller na receptionist inabidi wawe highly considered muonekano n.k...sio teller sura ka mkurugenzi
 
Kweli tuna differ yaani watu wamejichubua hivi bado unasema ni maua. Ni letee picha za zilizopigwa wakiwa wametoka kulala meaning kabla ya make-up
 
Majungu na wivu tu kama huyo niliyemtaja ni mzuri natural na ni mweupe tangu utotoni namjua nimekua nae na kusoma nae natunaishi jirani kama ndugu na wala sio nung'a embe amesoma na kaolewa.

Fitina titi la paka halifai kwa mtindi.
Malkia wa Sheba, asante kwa ukweli huu, sisi wengine japo tumeoa, na tuna familia zetu, huwa tunajisikia raha kuhudumiwa na wasichana/wanawake wazuri, tena huyo uliyemtaja nadhani jana nimemuona tena akiwa natural zaidi, kumbe hata nywele anazo sijui nyie wadada bwana, unakuta mtu umejaalliwa, nywele unazo, sijui weaving za nini?!.
Pasco
 
Malkia wa Sheba, asante kwa ukweli huu, sisi wengine japo tumeoa, na tuna familia zetu, huwa tunajisikia raha kuhudumiwa na wasichana/wanawake wazuri, tena huyo uliyemtaja nadhani jana nimemuona tena akiwa natural zaidi, kumbe hata nywele anazo sijui nyie wadada bwana, unakuta mtu umejaalliwa, nywele unazo, sijui weaving za nini?!.
Pasco

Hahaaaa ni kubadilisha muonekano tu.
 
Maua mengine ni maua saa sita yanachanua saa 6 tu
Hata yangechanua for one minute only!, kuchanua ni kuchanua tuu, au linapendeza likichanua, na lile linalichanua kidogo tuu na kufunika, ndilo linalopendeza zaidi maana ukiliwahi wakati limechanua!, utapenda tuu kuliangalia tuu!.
Pasco
 
Back
Top Bottom