KERO CRDB BANK Mlichonifanyia tarehe 31.12.2024 ni zaidi ya unyang'anyi

KERO CRDB BANK Mlichonifanyia tarehe 31.12.2024 ni zaidi ya unyang'anyi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkuu,hizo figure ni Tsh au US dollar?
Kama ni Tsh January hii utatoboa vipi?
 
Kwa uzoefu wangu issue kama hiyo unakuta kuna muamala uliufanya labda mwezi fulani hawakukata Makato yao, ila wanakuja kuyakata badae.

Vuta statement ya miezi kama sita hivi, fungua hiyo stement kisha copy moja wapo ya hizo transaction id za makato uitumie kusachi kwenye hiyo pdf, kwenye chrome kuna option ya kusachi text kwenye pdf. Ukisachi itakuletea muamala husika kwasababu transaction id ya muamala husika inafanana na transaction id ya makato ya huo muamala.

Kama hiyo transaction id itapatikana kwenye makato pekeake na muamala husika haupo basi hapo watakuwa wamekupiga.

NB, transaction id ni hizo namba zilizoandikwa REF: kisha mchanganyiko wa namba na herufi
Ushauri umepokelewa, nitafanyia kazi ili nijiridhishe zaidi
 
Leo nimeenda kwenye moja ya ATM za CRDB Bank nikiwa na nia ya kutoa fedha kiasi cha 200k+. baada ya majaribio kadhaa ya kujaribu kutoa kiasi hicho ambacho nilikuwa na uhakika ninacho kwenye akaunti kushindikana ikabidi niangalie salio, sikuamini baada ya kukuta kiasi cha Tshs. 96,280.

Kimekatwa kwenye akaunti yangu bila mimi mwenyewe kujua. Nimepiga simu call centre yao majibu niliyopewa eti fedha ilikatwa tarehe 31.12.2024 kwa miamala ambayo nimekuwa nikifanya mfano kutoa kwenye ATM ambayo siyo ya crdb na kusafiri nje ya Nchi kitu ambacho sijawahi kufanya.

Nauchukulia huu kama wizi kwasababu Statement inaonesha miamala ambayo imefanyika tarehe hiyo na mimi sikufanya miamala hiyo kwa siku hiyo ambayo jumla yake ni Tshs. 96,280. Screen shot imeambatishwa.

View attachment 3190854View attachment 3190855
Wameamua kufunga mwaka nawewe kwa kujilia kwa urefu wa kamba yao
 
Leo nimeenda kwenye moja ya ATM za CRDB Bank nikiwa na nia ya kutoa fedha kiasi cha 200k+. baada ya majaribio kadhaa ya kujaribu kutoa kiasi hicho ambacho nilikuwa na uhakika ninacho kwenye akaunti kushindikana ikabidi niangalie salio, sikuamini baada ya kukuta kiasi cha Tshs. 96,280.

Kimekatwa kwenye akaunti yangu bila mimi mwenyewe kujua. Nimepiga simu call centre yao majibu niliyopewa eti fedha ilikatwa tarehe 31.12.2024 kwa miamala ambayo nimekuwa nikifanya mfano kutoa kwenye ATM ambayo siyo ya crdb na kusafiri nje ya Nchi kitu ambacho sijawahi kufanya.

Nauchukulia huu kama wizi kwasababu Statement inaonesha miamala ambayo imefanyika tarehe hiyo na mimi sikufanya miamala hiyo kwa siku hiyo ambayo jumla yake ni Tshs. 96,280. Screen shot imeambatishwa.

View attachment 3190854View attachment 3190855
Hawa watu wana makato ambayo muda mwingine huwezi yaelewa wanakata nini. Kukuta umekata 50000, 30000 bila sababu ni kawaida kwao
 
Xmass wame piga pin account yangu baada ya kuingiza 36ml hadi niende ofisini kwao, pimbi hawa hawataki watu tupandishe figure
 
Back
Top Bottom