Mimi Nilifunga account kwa ajili ya huo ujinga wao.. Ninashangaa sana watu wanaopata huduma katika bank hii.
Mkuu unajua bana mifumo ya bank zetu za kibongo ni yakizamani sana na inakuwa shida sana kama bank ishakuwa na wateja wengi sababu mambo mengi ya centralized
So kama wewe ni mtumiaji mkubwa wa mabank huwezi kuzikwepa hizi bank kubwa, lakini kama ni mtumiaji wa kawaida nashauri fungua bank hizi mpya ndogo ndogo huduma zake ziko fasta kuliko maelezo na utahudumiwa kama mfalme, tatizo ni wanamitandao midogo wengi wanaoperate dsm tu