Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilifungua account benki ya CRDB mwezi wa March 2013. Waliniahidi kunipatia kitabu cha hundi baada ya wiki mbili.
Imebakia saa moja kuingia mwezi wa june 2013 wameshindwa kabisa kunipatia kitabu cha hundi, kila ukiwauliza wanatoa sababu chungu nzima.
Nashindwa kabisa kuelewa hii benki ilipataje tunzo ya super brand, miezi mitatu sasa hakuna mauzo ya vitabu vya hundi.
Ndugu zangu hivi huduma za benki zingine ni chafu kama ilivyo kwa CRDB Bank?
Najuta na kumlaumu aliyenielekeza CRDB, naomba msaada wa benki nyingine yenye mtandao mkubwa nchini niweze kuwasiliana nao.
Eti siku moja kadi imemezwa saa 4 asubuhi pale CRDB TRA branch Arusha wakaniambia ni mpaka kesho yake ilihali nilikuwa nasafiri. Ilibidi niweke high frequency(majibizano makali) then mkuu wao pale akaagiza nikaletewa kadi. pale nikagundua kila mtu ni Kimei pale
Nenda barclays,they ar so systematic,au nipm
...... a place that is u will not miss a chagga.