Wandugu mimi ni mfanyakazi wa taasisi moja binafsi hapa iringa, kuna mishahara ya wafanyakazi inapitia bank ya CRDB Iringa branch... Mishahara ya mwezi huu imeingia ila watu karibu 9 wamekuta account nyeupe kabisaaaa tena kwa mpigo. Kwenda kufuatilia wanaambiwa wamechukua hela eti visiwa vya shelisheli na wengine msumbiji... wakati hawajawahi kwenda hizo sehemu!! Katika kufuatilia bank inasema eti wasubiri 45 days wanachunguza kuna nini kimetokea, ila majibu rahisi ya mwanzo ni kuwa wameibiwa kwa nia za mtandao...
Mi nadhani kuna wafanyakazi crdb sio waaminifu hasa upande wa IT ambao wanacheza na system... ambapo kazi inabidi ifanyike kuwabaini... Wafanyakazi zaidi ya 30 wanaazimia kufunga account zao huko....
Nasema this is too much...
Mi nadhani kuna wafanyakazi crdb sio waaminifu hasa upande wa IT ambao wanacheza na system... ambapo kazi inabidi ifanyike kuwabaini... Wafanyakazi zaidi ya 30 wanaazimia kufunga account zao huko....
Nasema this is too much...